fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 632
- 854
Nazani mimi sio mtu pekee kukaa na kujua kua nimekosea baada ya kosa kujitokeza.
Lakini mimi kabla sijaendelea kosea us long am not dead man kuna baazi ya vitu nilikosea na kujua nimekosea nikiwa nimechelewa kwa namna moja au ingini ikiwa.
1. Wengi tunatumia miaka 20 kuofia kua tunafwatiliwa maisha yetu (ikiwa ndugu, jamaa na marafiki). Pia tunatumia miaka 20 mingine swearing atutojali namna watu wanavyo tuona tunavyo ishi.. na pia tunatumia miaka 20 mingine kujua kumbe amna mtu alie kua akitufwatilia maisha yetu.
its liberation..
2. Tumekua tukijutia pale kosa linapo tokea kiasi kwamba kusahau mazuri ambayo ni mengi maishani kwetu... nazani niko sahihi kua shida maishani ni chache sana kuliko mazuri ambayo yanajidhiirisha maishani kwetu maana japo maisha magumu lakini wengi wetu tunapo lala tunauakka wakuamka asubui japo sio asilimia 100% ila 75% tunazo wengi wetu.
3.pia nimejua kuna aina mbili ya watu duniani kote... kuna wale ambao wako tiyari kwenda mbele bila kuofia changamoto yoyote,, na wale wanao baki apo apo kwa kuofia changamoto za mbeleni kwenye maisha.
4. Uwa najiisigi kuwa moyoni mwangu nina roho mbili zote zinazo asira ila ya kwanza (1) inayo asira ambayo uwa aieleweki ata kwa kuelezea tu na kuna hii roho ya pili yenye asira lakini imezungukwa na upendo na ndio roho ambayo kila kukicha najaribu ipa chakula maana najiskia amani nayo mno.
Tupendane ndo funzo kubwa japo upendo wa kweli aujafanyiwa uvumbuzi bado.
Mimi nimejifunza ivyo wewe umejifunza nini maishani ukiwa late japo not too late.
Lakini mimi kabla sijaendelea kosea us long am not dead man kuna baazi ya vitu nilikosea na kujua nimekosea nikiwa nimechelewa kwa namna moja au ingini ikiwa.
1. Wengi tunatumia miaka 20 kuofia kua tunafwatiliwa maisha yetu (ikiwa ndugu, jamaa na marafiki). Pia tunatumia miaka 20 mingine swearing atutojali namna watu wanavyo tuona tunavyo ishi.. na pia tunatumia miaka 20 mingine kujua kumbe amna mtu alie kua akitufwatilia maisha yetu.
its liberation..
2. Tumekua tukijutia pale kosa linapo tokea kiasi kwamba kusahau mazuri ambayo ni mengi maishani kwetu... nazani niko sahihi kua shida maishani ni chache sana kuliko mazuri ambayo yanajidhiirisha maishani kwetu maana japo maisha magumu lakini wengi wetu tunapo lala tunauakka wakuamka asubui japo sio asilimia 100% ila 75% tunazo wengi wetu.
3.pia nimejua kuna aina mbili ya watu duniani kote... kuna wale ambao wako tiyari kwenda mbele bila kuofia changamoto yoyote,, na wale wanao baki apo apo kwa kuofia changamoto za mbeleni kwenye maisha.
4. Uwa najiisigi kuwa moyoni mwangu nina roho mbili zote zinazo asira ila ya kwanza (1) inayo asira ambayo uwa aieleweki ata kwa kuelezea tu na kuna hii roho ya pili yenye asira lakini imezungukwa na upendo na ndio roho ambayo kila kukicha najaribu ipa chakula maana najiskia amani nayo mno.
Tupendane ndo funzo kubwa japo upendo wa kweli aujafanyiwa uvumbuzi bado.
Mimi nimejifunza ivyo wewe umejifunza nini maishani ukiwa late japo not too late.