Recent content by ANOTHER PLANET

  1. A

    Account gani ya bank itatunza pesa zangu mpaka 2020 bila ku-draw??

    KWA HIYO A/C YA DHAHABU, RIBA YAKE NI KIASI GANI KWA MWAKA?
  2. A

    Series (Special thread)

    Counterpart nimecheki epsod ya kwanza, ni nzuri
  3. A

    Tanzania ni mahala salama sana pa kuishi

    Wanasiasa wanajaribu tu kututisha na kutengeneza taharuki miongoni mwetu, ila Tanzania ni shwari kabisa huku kitaa tunafurahia tu maisha.
  4. A

    SOLD: OFFER!! Jipatie TV's za kisasa kwanzia 190,000Tshs. Free Delivery

    na kwasisi wa mikoani utaratibu ukoje?!
  5. A

    Polisi Moshi yazuia jeneza la mwili wa Ndesamburo kupitishwa barabarani

    na kwanini wanataka kuutembeza mwli wa marehemu? apumzishe tu mzee wa watu...............hizi drama tumezichoka.
  6. A

    Wozah wozah piga kelele kwa halotel

    Acheni tu Halotel iitwe Halotel, wengine endeleeni tu kujazana.
  7. A

    Manara: Jumanne Nabutua, wanachama wetu watulie

    kwani Simba kwenye FA si alipenya kwa inshu kama hii, "what comes around, goes around"
  8. A

    Manara: Jumanne Nabutua, wanachama wetu watulie

    ili kubalance mambo Simba nayo inabidi ijitoe kwenye kombe la FA kwasababu inshu yao ilikuwa kama hii na hukumu inafanana.
  9. A

    Mwakyembe awabane Azam Media watoe video ya Lyonvs Kagera Sugar kama kipengele cha Mkataba na TFF

    Mpira unachezwa uwanjani na wala sio mezani kama Simba wanavyotaka kufanya.
Back
Top Bottom