Recent content by annuity xyz

  1. A

    Shahada ya kwanza inatosha, Watanzania tusipoteze muda kusoma zaidi

    Binafsi Nina degree moja ya social science, inatosha kabisa na sion sababu ya kuendelea na masters PhD . hela yakuendea masters au PhD bora nianze kujifunza uwekezaj
  2. A

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Samahan ndugu, mwenyew series ya the spirit of pope rak
  3. A

    Msaada juu ya tendo la ndoa

    Uzuzu huo hakuna andiko lolote kwenye dini wala serikalin, hiyo ni private issue : ni maamuz ya wanandoa wenyew, na unakoenda utauliza hata style shame on you
  4. A

    Petition: Susia Azam TV, susia CECAFA challenge cup

    Brother hajui sheria na kanuni za FIFA msamehe bure tu
  5. A

    Swali kwa wanawake, yupi mwanaume bora, mwenye kuongeza mke wa pili au mwenye kuchepuka?

    Mh bora umesema ukweli, afadhali upambane watu/mtu anaejulikana kuliko hawa wasijulika Sent using Jamii Forums mobile app
  6. A

    Antonio Conte Ligi ya Uingereza ni Tofauti na Ile ya Italia Baba.

    Wala c wez mlaum conte kwa case ya Costa, conte kama manager wa club yuko sahih, tatzo c uchezaj ila mnasahaubusumbufu wake mwaka Jana akitaka kuondoka. Sasa hi ni tabia mbaya ulaya c Africa ukiwa na mkataba ukaanza kuleta kibri haijalish kipaji chako. Akipigiwa magoti ataambukiza ujinga kwa...
  7. A

    Biashara au ujuzi kipi bora kwa msichana wangu wa kazi?

    Hongera kwa dhamira yako, ushaur wangu mpeleke ufund awe na taaluma atakayoweza kujiajir Sent using Jamii Forums mobile app
  8. A

    Wasichana wenye umri wa miaka 26-27 wengi wapo 'single' kwanini?

    Weng single mother, wametendwa tayar Sent using Jamii Forums mobile app
  9. A

    Nimekwisha na UKIMWI

    Mkuu inamana tangu umpe mimba hamkuwah/ hakuwah kwenda clinik kupima au mnaishi dunia ip Sent using Jamii Forums mobile app
  10. A

    Ushauri: Changamoto za kuoa mke asiye na kazi

    Kuwa na msimamo kwenye maisha, tatzo wabongo tunakalili maisha, c waajiriwa ndo wananafasi ya kufanikiwa katka maisha, mtoa post ajiulize hakuna darsa LA saba waliomzid kimafanikio ya kimaisha, mwisho Mkuu kama unampenda oa mupange mipango ya maisha tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. A

    Uzushi/upotoshaji kuhusu ujasiriamali

    Absolutely Sent using Jamii Forums mobile app
  12. A

    B.Fernandes: Mtanzania aliyekataa mshahara wa Mil 425 marekani arejea Tz

    Mnafiki tuuuuuuu Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
  13. A

    Ombaomba, Kina Mama

    Mh acha uongo wa wazi wale tunaowakuta pale mjin CRDB wamehamia toka mkoa gan
  14. A

    Sirro: Jambazi aliyevamia gari ya fedha Kurasini, alikufa akisema Allah U Akbar

    Mkuu hayo maneno c lugha tu, usiweke dhana ya kuwa kila anaetamka kiarabu ni muislam. Hsta uarabun kun's wakiristo na wanaongea kiarabu
Back
Top Bottom