YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Wahindi ni Kama kabila hakuna kitu huwa kinaniudhi mtu kujiita muhindi au mwarabu au mpemba mbona watanzania huwa hatuitwi kwa makabila yetu? Unakuta hata Waandishi wa habari wakiandika utasikia mtanzania mwenye asili Ya kihindi Au kiarabu ikifika kwa waswahili hawaandiki mtanzania mwenye asili Ya kichaga au kinyamwezi. Huyo ni mtanzania inatoshaMtanzania au mhindi?