Mkuu vipi kuhusu new model spacio cc 1500 itafaa kwenye fuel consumption na nauli iliyopangwa kwa route moja mfano 10km
Unaweza kujiunga kwa na apps zote za tax online mfano uwe na uber bolt taxfy kwenye gari moja
Dereva ni mgeni kwenye hii biashara ya tax mtandaoni, jaribu kutoa mbinu za...
Acha na bei za instagram zitakuchanganya na utakata tamaa kipindi nanunua ilikuwa hadi 1.2M jaribu kutembelea madukani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashauri tu kama huna tatizo na majina ya simu chukua xiaomi redmi note 8 ni nzuri ina performance nzuri, good display inakaa na chaji na camera ipo poa. Hii simu ndo naitumia kuna mdau alinishauri humu humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu nimekuelewa hapo, kwa bajeti ya kuanzia 350k hadi 480k naomba ulist simu zenye uwezo mzuri ila usiiweke Samsung tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Infinix hot 9 na Tecno camon 15 ni ipi simu nzuri kati ya hizo kuzingatia performance, camera, display na ugumu wa body zote ziwe na internal memory 64GB 4GB RAM.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.