Ipi Samsung nzuri zaidi katika Samsung Note Series?

Ipi Samsung nzuri zaidi katika Samsung Note Series?

mimi pia nitailaani Note 4 niliinunua mwaka 2016 Sh laki 7 nikakaa nayo miezi 6 tu ikafa. ilizimika yenyewe hata nilipoipeleka kwa fundi pale mwezi haikupona, pili ilikuwa ikichemka sana tofauti na s8+ ninayotumia sasa .hii s8+ naitumia ikiwa full chaji hadi 0 simu haina joto hata kidogo
nimeamua kubakia S series sitaki kabisa Note.

kingine chief mkwawa sioni haja ya kununua s9 au 9+ wakati specifications zinafanana na s8+ ninayotumia,tofauti yake ni kidogo sana,nikitoka hapa nitanunua s10
Mm bado sijawaelewa kwa nini mnaipondea note4.

Hii simu nimenunua 2015 ndio zilikuwa zimeingia. Nilinunua duka flani pale posta 1.2M na mpaka sasa inakimbiza vzur tu.

Sema hiki kipindi zilitoka copy nyingi sana za note4 nadhani wengine mliangukia huko.

Lakini hii nilionayo ishapiga mizinga mingi tu lakini bado inadunda vzur kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm bado sijawaelewa kwa nini mnaipondea note4.

Hii simu nimenunua 2015 ndio zilikuwa zimeingia. Nilinunua duka flani pale posta 1.2M na mpaka sasa inakimbiza vzur tu.

Sema hiki kipindi zilitoka copy nyingi sana za note4 nadhani wengine mliangukia huko.

Lakini hii nilionayo ishapiga mizinga mingi tu lakini bado inadunda vzur kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hizi simu ni ngumu hatari......yaani kama jiwe...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi nikaamua kuhamia s series maana nakumbuka baada ya note 4 kuzingua nikahamia ktk flaghship. nikanunua s6,s7edge,s8+ na sasa s9+.simu zote hizi hazijawahi kuniangusha .kuanzia s7edge hadi hapa nilipo chaji huwa ni mkataba.nawashangaa wale wenzetu wanaoponda Samsung brand eti zinakula chaji. nunueni flaghship mfaidi pesa zenu
Mm bado sijawaelewa kwa nini mnaipondea note4.

Hii simu nimenunua 2015 ndio zilikuwa zimeingia. Nilinunua duka flani pale posta 1.2M na mpaka sasa inakimbiza vzur tu.

Sema hiki kipindi zilitoka copy nyingi sana za note4 nadhani wengine mliangukia huko.

Lakini hii nilionayo ishapiga mizinga mingi tu lakini bado inadunda vzur kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm bado sijawaelewa kwa nini mnaipondea note4.

Hii simu nimenunua 2015 ndio zilikuwa zimeingia. Nilinunua duka flani pale posta 1.2M na mpaka sasa inakimbiza vzur tu.

Sema hiki kipindi zilitoka copy nyingi sana za note4 nadhani wengine mliangukia huko.

Lakini hii nilionayo ishapiga mizinga mingi tu lakini bado inadunda vzur kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo simu ni best note of all time naikubali sana

Samsung galaxy note 3 snapdragon
 
Asanteni sana wakuu ngoja nione ipi itakuwa kwenye uwezo wangu maana bajet yangu ni Tsh 800,000 automatically hiyo note 10 siwezi kuafford.
laki 8 chukua Iphone Xs simu moja nzuri sana boss wangu
 
Back
Top Bottom