Biashara nzuri. Nahitaji hata la mkopo. Nipo kwenye sekta hii. Namiliki chimbo. Naomba Wana wanavtotusua.
Kuna mmoja alidiriki kuuza nyumba yake kisha akanunua howo.
Anakimbiza mbaya.
Mwingine mzee mstaafu pesa ya penshen kaitupia huku. Anakaa kushoto siku zote.
Kifupi inalipa sana wewe mwenyewe...
Bado unatumukishwa? Niko zangu home nimechill pipo wananifanyia maokoto, daily naingiza 300,000. No stress, no pressure, no kutumwatumwa kama wewe apo. Na nimekaa kimya.
Matako yako.
Nakumbuka enzi za wedsexdotcom unaona pono kwa gharama kubwa na kwa usiri mkubwa usifumwe na mwenye internet cafe yake. Saivi pono is evriwea hujataka kutizama ushaletewa.
Pole sana dada. Uchawi wa kusini ni mbaya sana.
Mimi ni mhanga wa Hilo. Nilifunngua biashara yangu uswahilini. Niliwekeza pesa nyingi. Wazee wa kusini wakanikalia kikao. Wakafunga biashara wakanitia nuksi nikapoteza hadi ajira.
Nilipambana kwa waganga Kila Kona lakini nilfeli.
Mwisho wa siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.