Recent content by ankol

  1. ankol

    JamiiForums Tanzania Kwa wema Gani ulio nao mpaka ukatae kutumia uchawi

    Uchawi upon real jamaa. Usiombee ukaingia kwenye 18 za wachawi.
  2. ankol

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri biashara ya magari ya mchanga 20cbm FAW, HOWO

    Biashara nzuri. Nahitaji hata la mkopo. Nipo kwenye sekta hii. Namiliki chimbo. Naomba Wana wanavtotusua. Kuna mmoja alidiriki kuuza nyumba yake kisha akanunua howo. Anakimbiza mbaya. Mwingine mzee mstaafu pesa ya penshen kaitupia huku. Anakaa kushoto siku zote. Kifupi inalipa sana wewe mwenyewe...
  3. ankol

    JamiiForums Tanzania Sipo Hapa kula mtu ila muelewe. Monthly payment yangu ni 4500$ Sawa na 12M kulingana na position Yangu na experience

    Bado unatumukishwa? Niko zangu home nimechill pipo wananifanyia maokoto, daily naingiza 300,000. No stress, no pressure, no kutumwatumwa kama wewe apo. Na nimekaa kimya. Matako yako.
  4. ankol

    JamiiForums Tanzania Hatukuumbiwa this much stimilation

    Nakumbuka enzi za wedsexdotcom unaona pono kwa gharama kubwa na kwa usiri mkubwa usifumwe na mwenye internet cafe yake. Saivi pono is evriwea hujataka kutizama ushaletewa.
  5. ankol

    JamiiForums Tanzania Vita ya wachawi na washirikina imenishinda uswahilini. Nahama nauza vitu vyangu vya ndani

    Pole sana dada. Uchawi wa kusini ni mbaya sana. Mimi ni mhanga wa Hilo. Nilifunngua biashara yangu uswahilini. Niliwekeza pesa nyingi. Wazee wa kusini wakanikalia kikao. Wakafunga biashara wakanitia nuksi nikapoteza hadi ajira. Nilipambana kwa waganga Kila Kona lakini nilfeli. Mwisho wa siku...
  6. ankol

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Mazungumzo ya kuhamisha Wananchi wa Sinza yasifanyike kwa mafungu hotelini, tushirikishwe na uwazi uwepo

    Ujanja kumtafuta mteja faster kumuuzia Kabla hamjakuja kupangiwa bei na sirikali.
  7. ankol

    JamiiForums Tanzania Baba Levo: Kuna wanawake wanatumwa kurekodi viongozi video za utupu hotelini

    Yani aliachwa zito akachukua yeye. Daah.
  8. ankol

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asha-Rose Migiro: Sioni sababu watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara

    Enzi zile tunasoma majina kama asharoz yalikua yanaogopewa. Yani walikua wanaonekana binadamu spesho wenye akili spesho. Ila sasahivi daah!
  9. ankol

    JamiiForums Tanzania Hekaya za Idu: ziara za Waziri Mwigulu Nchemba zinatafakarisha sana. Ni kama taifa halina waziri mkuu na limepotea.

    Yani Iko autopilot. Inajiamulia ifanye Nini.
  10. ankol

    JamiiForums Tanzania Nifuge Kuku au Sato?

    Hali mbaya. Kama mwaka Jana bei. Mwaka Jana tuliaminishwa bei ili drop sababu mwaka wa uchaguzi. Mwaka huu bei ileile wametupangia.
  11. ankol

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan mwanga wa maendeleo na uongozi kwa taifa

    Sawa umelipwa pesa, ila ndio utufokee hivi? At least ubakishe hata akili ya kuwasilisha huo ujumbe uliokuingizia pesa.
  12. ankol

    JamiiForums Tanzania Nifuge Kuku au Sato?

    Nasikia wanakula hadi mavi ya ngombe
  13. ankol

    JamiiForums Tanzania Nifuge Kuku au Sato?

    Ufuta.
Back
Top Bottom