Recent content by ankol

  1. ankol

    Binti anayeonesha uchi mtandaoni ‘Live’, achukuliwe hatua haraka

    Style yake anaita view once. Ila ana uchi mzuri.
  2. ankol

    Najuta kuwa mraibu wa kujichua, sasa najuta, nimekuwa "hanithi"

    Acheni kuisingizia nyeto. Niko forty na bado napiga na likija lile jambo letu bado nasimamia ukucha.
  3. ankol

    USA na Israel wanaomba nchi nyingine ziwasaidie kupigana na Iran

    Yani Iran asingepigana na nchi zote hizo. Hapo ndipo alipobugi. Angechagua nchi moja tu, Syria aifute katika ulimwengu.
  4. ankol

    Iran Imethibitisha Kuwa Kiongozi Mkuu, Ayatollah Ali Khomeini ameuawa

    Yaani pigo moja tu limemla kichwa mtu muhimu. Hapo vita imeisha tayari.
  5. ankol

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Marekani hamuwezi muirani mpaka apate collabo.
  6. ankol

    Derby ya Kariakoo kupigwa Jumapili New Amaan Complex Zanzibar saa 2:15

    Kwamba wameamua kumfata bimkubwa hukohuko.
  7. ankol

    Haya mambo ya uchawi yapo kweli au ni tatizo la watu kukosa elimu na kuamini mazingaombwe ? kila nikiomba ushahidi ni stori za vijiweni bila ushahidi

    Unaweza ukajiona uko smart kuliko wenzako wanaoaminiamini mambo ambayo kwako unaona ni upumbavu bila kujua kumbe wewe ndio mpumbavu. Hiyo ndio hulka ya binadamu Yani kujiona yeye mbora kuliko wenzako. Uchawi ulikuwepo tangu kipindi cha manabii. Hujui historia upoupo tu ila kinafsi unajiona wewe...
  8. ankol

    Palipotoboka panazidi kuvuja!

    Tukae mwendo wa kutulia wadau. Soga boy anatupambania kwa madili ya kimafia zaidi. Si mnaelewa wahisani walishazingua na vijisenti vyao? So by any means lazima tusonge wadau. Tulianzia Kongo kuteka madini tumefeli, tumejaribu na dili la mapouder limebauzi. Yaani mwaka wa shetani ni washetani tu...
  9. ankol

    Kinachowafanya waafrika waendelee kuamini mambo ya kishirikina ni lack of knowledge/ignorance

    Kama mpaka umri huo haujakumbana na changamoto za kishirikina, iwe nyumbani ama kwenye utafutaji wako. Shukuru sana Mungu. Na wala usibeze Uwepo wa ushirikina.
  10. ankol

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Namtabiria hii mi 5 haimalizi.
  11. ankol

    Tetesi: Vifo vya Wanajeshi wa JWTZ Minembwe, Congo: kama ni kweli, Je Samia na Mkunda wanahusika?

    Nitaleta mrejesho idadi ya waliokufa, Yuko mwana hanifichagi kuhusu mbanga hizi. Ngoja kukuche.
  12. ankol

    Tetesi: Vifo vya Wanajeshi wa JWTZ Minembwe, Congo: kama ni kweli, Je Samia na Mkunda wanahusika?

    Inasikitisha kusikia Hadi nchi za nje wanajua kua msoga ndio anampeleka chaka samuya.
Back
Top Bottom