Recent content by ankol

  1. ankol

    JamiiForums Tanzania Nawapa heshima zote mnaojitafutia vipato kwenye biashara, kumejaa ushindani, kukomoana, kuchezewa rafu, n.k. sio rahisi hata kidogo

    Kifupi. Biashara imeniingiza katika Imani za kishirikina bila mwenyewe kupenda.
  2. ankol

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

    Kuota upon shule ya msingi unapitia magumu let say unajiandaa na mitigani, ama unatembea umbali mrefu kuwahi shule. Inamaana ya kurudishwa nyuma kimaendeleo either kwa hila za kibinadamu ama kimipango ya Mungu. Kujirudiarudia ndoto hii maana yake Kuna nguvu zinakurudisha nyuma kimaendeleo...
  3. ankol

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Ata simu za mishe inabidi ukaongelee chooni.
  4. ankol

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    Ungeingia na sehemu za masaji labda usingeghairi kuto...mba. Wapo kwality kushinda demu wako.
  5. ankol

    JamiiForums Tanzania Katika ulimwengu wenye kelele na mambo mengi: Ni jambo gani dogo linalokupa utulivu wa nafsi kwa sasa?

    Road trip. Huwaga naformat matatizo yangu tote nikiwa na drive kwenda mkoa. Yani nikirudi Dar naanza mwanzo.
  6. ankol

    JamiiForums Tanzania Binti anayeonesha uchi mtandaoni ‘Live’, achukuliwe hatua haraka

    Style yake anaita view once. Ila ana uchi mzuri.
  7. ankol

    JamiiForums Tanzania Hatua Gani Zinachukuliwa Igundulikapo Tatizo la Afya ya Akili kwa Kiongozi?

    Angepumzika kidogo.
  8. ankol

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najuta kuwa mraibu wa kujichua, sasa najuta, nimekuwa "hanithi"

    Acheni kuisingizia nyeto. Niko forty na bado napiga na likija lile jambo letu bado nasimamia ukucha.
  9. ankol

    JamiiForums Tanzania USA na Israel wanaomba nchi nyingine ziwasaidie kupigana na Iran

    Yani Iran asingepigana na nchi zote hizo. Hapo ndipo alipobugi. Angechagua nchi moja tu, Syria aifute katika ulimwengu.
  10. ankol

    JamiiForums Tanzania Mara ya kwanza tangu tumepata uhuru Rais na Waziri mkuu wake wanaongoza nchi huku wanalia majukwaani wanachukiwa

    SI TU kuchukuwa bali wamepoteza mvuto. Yani wamedoda.
  11. ankol

    JamiiForums Tanzania Iran Imethibitisha Kuwa Kiongozi Mkuu, Ayatollah Ali Khomeini ameuawa

    Yaani pigo moja tu limemla kichwa mtu muhimu. Hapo vita imeisha tayari.
  12. ankol

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Marekani hamuwezi muirani mpaka apate collabo.
  13. ankol

    JamiiForums Tanzania Derby ya Kariakoo kupigwa Jumapili New Amaan Complex Zanzibar saa 2:15

    Kwamba wameamua kumfata bimkubwa hukohuko.
  14. ankol

    JamiiForums Tanzania Haya mambo ya uchawi yapo kweli au ni tatizo la watu kukosa elimu na kuamini mazingaombwe ? kila nikiomba ushahidi ni stori za vijiweni bila ushahidi

    Unaweza ukajiona uko smart kuliko wenzako wanaoaminiamini mambo ambayo kwako unaona ni upumbavu bila kujua kumbe wewe ndio mpumbavu. Hiyo ndio hulka ya binadamu Yani kujiona yeye mbora kuliko wenzako. Uchawi ulikuwepo tangu kipindi cha manabii. Hujui historia upoupo tu ila kinafsi unajiona wewe...
  15. ankol

    JamiiForums Tanzania Dawa za kulevya na Zanzibar, huyu member alisema, wakongwe mnakumbuka?

    Wewe unadhani atakua nani?
Back
Top Bottom