Recent content by ankol

  1. ankol

    JamiiForums Tanzania Unamwamini vipi huyo unaye mtuma akuletee vyakula vilivyopikwa, matunda na vinywaji?

    Mama ntilie ananifanyia delivery nyumbani kwangu. Yani anakuja yeye kama yeye mpaka hom. Ajabu nimeanza kumpenda Atari. Nahisi ameniwekea mambo ya kiswahili kwenye msosi. Mbaya zaidi ni mke wa mtu.
  2. ankol

    JamiiForums Tanzania Hii kitu ya mabasi yote kuhamia stendi ya Magufuli imeumiza wengi

    Ni swala la muda tu mambo yatarudi kama awali.
  3. ankol

    JamiiForums Tanzania Nchi zilizoendelea kama South Afrika na Ulaya huwezi kukuta mabasi yanapewa amri kama hizi za kupakilia Magufuli stand .

    Kosa kuu lililofanyika ni kujengea stand nje ya mji. Intercity buss terminals lazima zianzie center ya mji. Yani ingejengewa posta kabisa. Mbona sgr haijaanzia pugu??? Tena kwa gharama kubwa imepelekwa hadi posta kupitia madaraja.
  4. ankol

    JamiiForums Tanzania Tuwafanye wake zetu kuwa marafiki, hata kama tunachepuka

    Mi wangu aliniambia tu kwa upole ukichepuka 'tumia kondom'.
  5. ankol

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Mbowe afukuzwe uanachama CHADEMA. Afulumushwe aende akaungane na vibaraka wenzake Chaumma.

    Siku ukija kujua Mbowe ndio mwenye chama chake ndio utajua wapangaji wanawezaje kumfukuza mwenye nyumba.
  6. ankol

    JamiiForums Tanzania Watu wanafikiria hivi lakni ukweli ni huu

    Kwanba niwe na hela nyingi afu niishi na huzuni? Kweli?
  7. ankol

    JamiiForums Tanzania Uliwahi kopa hela kwenye app za online, ilikuwaje?

    Nilikopa 30,000 baada ya wiki wakanidai 50,000 nilichoka.
  8. ankol

    JamiiForums Tanzania Mwinyi Hussein Rais wa JMT 2030-2040

    Yani bado unatamani utawaliwe na mzanzibari tena! Utajua huna akili.
  9. ankol

    JamiiForums Tanzania Siku ya leo panapo majaliwa ya Mungu, tuungane kumpazia sauti kijana Isa Musini Rashidi aliyetumika kama chambo na kutupwa jela miaka 30 kwa mirungi

    Maisha hayajawa na short cut. Kijana alikubali vipi kubebeshwa mirungi hali anajua ni madawa ya kulevya? Utetezi wake ni mgumu sana.
  10. ankol

    JamiiForums Tanzania Usije ukamwaga mpaka nikuambie

    Nilikaririshwa nyimbo za kuingia stejini mwisho wa siku yule mpuuzi akaolewa na njemba nyingine.
  11. ankol

    JamiiForums Tanzania Kwa wema Gani ulio nao mpaka ukatae kutumia uchawi

    Uchawi upon real jamaa. Usiombee ukaingia kwenye 18 za wachawi.
  12. ankol

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri biashara ya magari ya mchanga 20cbm FAW, HOWO

    Biashara nzuri. Nahitaji hata la mkopo. Nipo kwenye sekta hii. Namiliki chimbo. Naomba Wana wanavtotusua. Kuna mmoja alidiriki kuuza nyumba yake kisha akanunua howo. Anakimbiza mbaya. Mwingine mzee mstaafu pesa ya penshen kaitupia huku. Anakaa kushoto siku zote. Kifupi inalipa sana wewe mwenyewe...
  13. ankol

    JamiiForums Tanzania Sipo Hapa kula mtu ila muelewe. Monthly payment yangu ni 4500$ Sawa na 12M kulingana na position Yangu na experience

    Bado unatumukishwa? Niko zangu home nimechill pipo wananifanyia maokoto, daily naingiza 300,000. No stress, no pressure, no kutumwatumwa kama wewe apo. Na nimekaa kimya. Matako yako.
Back
Top Bottom