Mama ntilie ananifanyia delivery nyumbani kwangu. Yani anakuja yeye kama yeye mpaka hom. Ajabu nimeanza kumpenda Atari. Nahisi ameniwekea mambo ya kiswahili kwenye msosi.
Mbaya zaidi ni mke wa mtu.
Kosa kuu lililofanyika ni kujengea stand nje ya mji.
Intercity buss terminals lazima zianzie center ya mji. Yani ingejengewa posta kabisa.
Mbona sgr haijaanzia pugu???
Tena kwa gharama kubwa imepelekwa hadi posta kupitia madaraja.
Biashara nzuri. Nahitaji hata la mkopo. Nipo kwenye sekta hii. Namiliki chimbo. Naomba Wana wanavtotusua.
Kuna mmoja alidiriki kuuza nyumba yake kisha akanunua howo.
Anakimbiza mbaya.
Mwingine mzee mstaafu pesa ya penshen kaitupia huku. Anakaa kushoto siku zote.
Kifupi inalipa sana wewe mwenyewe...
Bado unatumukishwa? Niko zangu home nimechill pipo wananifanyia maokoto, daily naingiza 300,000. No stress, no pressure, no kutumwatumwa kama wewe apo. Na nimekaa kimya.
Matako yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.