Recent content by ankol

  1. ankol

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Muhammad aliwahi kulogwa?

    Aliaguliwa na waganga wa kike.
  2. ankol

    JamiiForums Tanzania Mwekezaji anayefichwa anayetaka kuinunua Sinza yote, ni mama mmoja wa Kizanzibari na kijana wake wa kiume, Master mind wa ufisadi wote.

    Hapa ndio wamiliki wengi wa sinza walipofeli. Yani wanamiliki ardhi sehemu potential lakini akili yao haifikirii hata kukopea benki na kujengea gorofa. Sehemu ambayo Iko very marketable kwamba ukimaliza ujenzi una uhakika wa kupangisha na kulipa installment za bank na nyumba ikabaki Kua yao...
  3. ankol

    JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki wa kweli — kwenye shida na raha

    Sasa hapo si ndio utakua kama Daddy yake?
  4. ankol

    JamiiForums Tanzania Faini za Maegesho – Serikali Inakusanya Mapato kweli au Mfumo Unavuja?

    Ilinitokea na Mimi jmosi moja. Jamaa wako sharp sana. Nilisimama ndani ya dk tu wameshazama ndani. Nikaenda nao mpaka keko kwenye yard yao. Wanataka 250,000 cash ndio nitoke. Nililock gari vizuri nikajifanya Niko bize kuwatafutia hiyo pesa. Kifupi sikuwa nayo. Nilienda Moja kwa Moja kwa mlinzi...
  5. ankol

    JamiiForums Tanzania Mwekezaji anayefichwa anayetaka kuinunua Sinza yote, ni mama mmoja wa Kizanzibari na kijana wake wa kiume, Master mind wa ufisadi wote.

    Serikali hii ikujengee gorofa afu ikukabidhi! Niko paleee.
  6. ankol

    JamiiForums Tanzania Mwekezaji anayefichwa anayetaka kuinunua Sinza yote, ni mama mmoja wa Kizanzibari na kijana wake wa kiume, Master mind wa ufisadi wote.

    Nasikia ni wachina ndio wanataka kuweleza. Acha upotoshaji ndugu. Tulia mjengewe magorofa.
  7. ankol

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: John Heche ameanza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Huyu ataharibu. Naona ana hasira sana. Atapanik afu atakosa point.
  8. ankol

    JamiiForums Tanzania Hizi ni biashara ambazo kwa Tanzania nikisikia mtu ameanzisha huwa naishia kusikitika tu!

    Car wash unyama sana. Huwezi amini nafanyia home tu lakini unyama. Wateja wangu wakuu ni bodaboda na Bajaj.
  9. ankol

    JamiiForums Tanzania Mkeo simpati, nataka kuja kuwasalimia watoto wangu. Tafadhari mwambie awalete kesho saa 3 asubuhi Matayo Hoteli

    Mimi wangu nilimwambia anizalie mtoto wa pili akakubali hali ya Kua yupo kwenye ndoa yake.
  10. ankol

    JamiiForums Tanzania Davido aangua kilio wakati wa kumzika rafiki yake aliefariki kwa kuongeza uume

    Ukisikia video vya aibu ni kama hiki.
  11. ankol

    JamiiForums Tanzania Ni Aidha Katambi ana changamoto ya Afya ya Akili au Obsession au amekosa objective na Mission kwenye Wizara yake

    Sababu hasa ya wahuni kufanya hivyo ni ipi?
  12. ankol

    JamiiForums Tanzania Ni Aidha Katambi ana changamoto ya Afya ya Akili au Obsession au amekosa objective na Mission kwenye Wizara yake

    Yupi mwenye changamoto ya akili? Yule aliyebeba bunduki aka shoot to kill ama aliyetoa oda ya kuamrisha waliobeba silaha washoot to kill?
  13. ankol

    JamiiForums Tanzania Hujuma kubwa dhidi ya reli mpya ya SGR inayofanywa na wanaccm na ndilo chimbuko la kukataa katiba mpya.

    Wanasema treni inabeba mabehewa machache ndio mana imefeli Kua suluhisho. Kwahiyo malori hayakwepeki.
  14. ankol

    JamiiForums Tanzania Serikali kutaka kuhamisha watu Temeke ili kupisha Bandari Kavu ni ukatili wa kiwango cha juu. Hii Serikali ni ya Kijamaa kweli?

    Kwa hiyo lile wazo la kwala ni hopuless kabisa? Wenye dola wapange ajenda ya miaka mia sio Kila mweshimiwa anakuja na ajenda zake.
Back
Top Bottom