Hapa ndio wamiliki wengi wa sinza walipofeli. Yani wanamiliki ardhi sehemu potential lakini akili yao haifikirii hata kukopea benki na kujengea gorofa. Sehemu ambayo Iko very marketable kwamba ukimaliza ujenzi una uhakika wa kupangisha na kulipa installment za bank na nyumba ikabaki Kua yao...
Ilinitokea na Mimi jmosi moja. Jamaa wako sharp sana. Nilisimama ndani ya dk tu wameshazama ndani. Nikaenda nao mpaka keko kwenye yard yao.
Wanataka 250,000 cash ndio nitoke.
Nililock gari vizuri nikajifanya Niko bize kuwatafutia hiyo pesa. Kifupi sikuwa nayo.
Nilienda Moja kwa Moja kwa mlinzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.