Unaweza ukajiona uko smart kuliko wenzako wanaoaminiamini mambo ambayo kwako unaona ni upumbavu bila kujua kumbe wewe ndio mpumbavu.
Hiyo ndio hulka ya binadamu Yani kujiona yeye mbora kuliko wenzako.
Uchawi ulikuwepo tangu kipindi cha manabii. Hujui historia upoupo tu ila kinafsi unajiona wewe...
Tukae mwendo wa kutulia wadau. Soga boy anatupambania kwa madili ya kimafia zaidi.
Si mnaelewa wahisani walishazingua na vijisenti vyao?
So by any means lazima tusonge wadau. Tulianzia Kongo kuteka madini tumefeli, tumejaribu na dili la mapouder limebauzi. Yaani mwaka wa shetani ni washetani tu...
Kama mpaka umri huo haujakumbana na changamoto za kishirikina, iwe nyumbani ama kwenye utafutaji wako.
Shukuru sana Mungu. Na wala usibeze Uwepo wa ushirikina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.