Hahaha pole ila usikate tamaaa maisha ni safari ndefu, na utakacho pata kitakuwa chako haswa siyo vile vya "daddy gave me" unajua eeeh, halafu familia ni factor kubwa japo siyo validy kivile labda kama una wadogo home unasaidia kuwa somesha au kutunza wazazi nk!! Kikubwa komaaa mali inatafutwa...
Binafsi sioni kama tatizo ni Nyalandu au mtanzania yeyote yule, shida hapa iko kwenye katiba yaani sheria mama haibainishi nini cha kufanya na nani, chukulia mfano tu rais akiingia madarakani ana unda baraza la mawaziri ni sawakuwa ni moja ya jukumu lake lkn kuna sheria inayo mtaka baraza liwe...
Sasa sijakuelewa hapo nyie wenye akili mlio ona kitu gani? Kwa co chair wa barrick atakuja kwenye majadiliano au mliona nn hawa watu wenye akili bwana noma kweli!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.