Kama una-upara na unakupa tabu pitia hapa.

Kama una-upara na unakupa tabu pitia hapa.

Ndugu zanguni nimeona niwaite kando ili tuweze kusaidiana na kuyajenga katika maswahibu haya ya upara.
Kuna mafuta yanaitwa INDULEKHA yanasifika kwa kusaidia kuimarisha na kurudisha nywele zinazokatika au zinazotakakupotea au zilizopotea jinsia zote kike na kiume inafanya kazi.
Mafuta haya yanapatikana katika ujazo wa ml 100 na kuendelea.

Mimi nmepata bahati ya kuyapata na nimeanza yatumia pia thats why nimeona nisiwabanie taarifa.

Kwa wale wote wenye interest unaweza ukaweka order yako hapa au uka ni pm.

BEI NI KAMA IFUATAVYO
1. Chupa moja ml 100 itauzwa kwa Tsh. 20,000
2. Chupa mbili zenye jumla ya ml 200 zitauzwa sh. 39000
3. Chupa tatu za jumla ml 300 zitauzwa kwa sh. 58,000.
Mafuta haya yamewasaidia wengi ..nafikiri hautasita kuyajaribu.

Ni hayo tu.
Mm nimeathirika wakati bado umri mdogo,mm nayataka.
 
Ndugu zanguni nimeona niwaite kando ili tuweze kusaidiana na kuyajenga katika maswahibu haya ya upara.
Kuna mafuta yanaitwa INDULEKHA yanasifika kwa kusaidia kuimarisha na kurudisha nywele zinazokatika au zinazotakakupotea au zilizopotea jinsia zote kike na kiume inafanya kazi.
Mafuta haya yanapatikana katika ujazo wa ml 100 na kuendelea.

Mimi nmepata bahati ya kuyapata na nimeanza yatumia pia thats why nimeona nisiwabanie taarifa.

Kwa wale wote wenye interest unaweza ukaweka order yako hapa au uka ni pm.

BEI NI KAMA IFUATAVYO
1. Chupa moja ml 100 itauzwa kwa Tsh. 20,000
2. Chupa mbili zenye jumla ya ml 200 zitauzwa sh. 39000
3. Chupa tatu za jumla ml 300 zitauzwa kwa sh. 58,000.
Mafuta haya yamewasaidia wengi ..nafikiri hautasita kuyajaribu.

Ni hayo tu.
Ukani pm,jamani nataka kujua maana ya pm ili ninunue hayo mafuta.
 
Hapo unaleta biashara hizo dawa zenu hizo!! Sasa kwann mtu uhangaike na Indulekha wakati kuna njia za kisasa
Hii si dawa ni mafuta ya nywele yanayoimarisha mizizi ya nywele na kuzisaidia zisiishe/ kupotea au kuota vizuri. Hakuna uchawi hapa kaka mkubwa. Labda nikuulize kuna njia zipi za kisasa ambazo mtanzania wa kawaida anaweza kuzimudu
 
Upara sio ugonjwa hiyo ni ishara ya mtu kuwa na pesa au msomi ingawa vipo vipara vya aina mbali mbali mfano vipara vya kimasikini, hivi havina mngaro kabisa kisha vipo vya kitajiri;hivi wanavyo baadhi hasa mafisadi na wenye pesa nyingi vipara hivi vinamng'aro kama bati za Aluminium.kuna vipara vya wasomi hawa ndio ma-genius halafu vipo vipara vya wajinga jinga fulani utakuta nywele zimeota kwa mafungu. [HASHTAG]#TUSAMEHEANE[/HASHTAG] TU HAKUNA NAMNA
[emoji23] [emoji23]
 
Upara sio ugonjwa hiyo ni ishara ya mtu kuwa na pesa au msomi ingawa vipo vipara vya aina mbali mbali mfano vipara vya kimasikini, hivi havina mngaro kabisa kisha vipo vya kitajiri;hivi wanavyo baadhi hasa mafisadi na wenye pesa nyingi vipara hivi vinamng'aro kama bati za Aluminium.kuna vipara vya wasomi hawa ndio ma-genius halafu vipo vipara vya wajinga jinga fulani utakuta nywele zimeota kwa mafungu. [HASHTAG]#TUSAMEHEANE[/HASHTAG] TU HAKUNA NAMNA
Vipara vya busara pia na vingine vya kubeba zege
 
Rooney kwa nini alitumia million 70 tsh. Kurudishia nywele zake wakati tsh 20'000/ tu au tsh 39,000/= ingetosha kabisa kurudishia nywele zake!!.
 
Sasa kwa wale waswalihina sijui itakuwaje maana nimeona hapo kuna chupa moja ina jani la Bangi..
 
Rooney kwa nini alitumia million 70 tsh. Kurudishia nywele zake wakati tsh 20'000/ tu au tsh 39,000/= ingetosha kabisa kurudishia nywele zake!!.
It's ur option whether to take It or not Hakuna aliyelazimishwa..mm nmefanya Kama msaada kwa ambao wanahitaji...if ur not interested waache ambao wanauhitaji.
 
Sasa kwa wale waswalihina sijui itakuwaje maana nimeona hapo kuna chupa moja ina jani la Bangi..
Hakuna jani la bangi hapo ni jani la mmea wa nyonyo
JANI LA BANGI
Screenshot_20171102_133755.png

JANI LA NYONYO
Screenshot_20171102_133838.png
 
Back
Top Bottom