mtoa mada sio kichaa, bila shaka ana ushahd na kitu anachokizungumza, huwezi kumfundisha mtu ukakamavu kwa kumnyima ruhusa ya kwenda hospitali, ni nidhamu gani unayomfundsha mtu kwa kumnyima haki yake ya mcingi, kama una ndugu huko jeshn kwa kipindi hk ni lazma utaguswa kwa njia moja au nyngne
vyovyote vile itakavyozungumzwa kuhusu hawa mabinti, either kapuya alikuwa mtu wao au la, ukweli ni kwamba kapuya amebaka. hakuna makubaliano kati ya binti wa miaka 14 na zee la miaka zaidi ya 50. hapo jela inamhusu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.