Tunaishi kwenye ulimwengu wa maendeleo ya sayansi na tekinoloji, ni wakati sahihi wa serikali kuchukua uhamuzi juu ya somo la tehema kuwa somo mama, hili litasaidia kuchochea mhamko wa ulewa kuanzia mjini mpaka vijijini, kwa vile dunia sasa ipo kiganjani ni vizuri nchi ikaendana na kasi ya...
Habari wanaJF,
Naomba kuuliza nina diploma ya procurement and logistics management ila nina f ya mathematics kidato cha nne vipi nitakuwa na kigezo cha kusoma degree?
Habari wana JF,
Pasipo kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtumishi kwenye Halmshauri X, nimeajiriwa kama afisa mtendaji, ila kwa bahati mzuri nina diploma ya shipping and port operation management pale Bandari College sasa lengo langu...
Samahani natoka nje ya mada ila nahitaji ufafanuzi.mimi ni mtumishi Halmshauri x,niliajilia kama veo,ila kwa bahati mzuri pia nina diploma ya kozi ya chuo cha bandari je nikihitaji kuhamia bandarini utaratibu upoje.?
Noma sana! Nilishafanya kibarua kampuni ya usafirishaji makaa ya mawe bandari ya mtwara ( ilifikia hatua ukitema mate yanakuwa rangi nyeusi supervisor alikuwq mkaburu ni shida kwa siku 10000.kazi haziishi lakini nilitika salama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.