Ulaji wake utafanya mama lishe wamkimbie,wapate pressure au msongo wa mawazo kwa kufkiri labda wameona jini😅😅Nimecheka sana ujue....
...Aliibua Pesa Mahali akataka kuwakoga Mama Lishe na Ulaji wa Kishamba! vitumbua vye Elfu Mbili Mtu Mmoja???Kwa ulaji huo hata mimi ningekushangaa mkuu una ulaji wa ajabu vitumbua vya 2000[emoji15]
[emoji28][emoji28]Unakulaje vitumbua na kongoro braza [emoji23][emoji23][emoji23]
DuuhHuyu jamaa amenikumbusha kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi Monduli, Sasa kuna rafiki yangu alikuwa yuko kozi pale TMA (Tanzania Military Academy) , basi wikiendi moja wameruhusiwa kaja kunitembelea home hapo bado niko bachela. Picha linaanza jamaa ananiambia usihangaike kuhandaa chai twende tukanywe kitaa, ebwanaa tukatimba kwa mama ntilie flani hivi pale town, jamaa alipiga show hiyo kila mtu alibaki ameshangaa .
Atakwambia mwili haujengwi kwa matofali.Una kula kama mchwa?
Miss you more sweetheart!!! Hope babegirl na daddie wako poa mamy!!Jamaa mchwa ana kula zaidi
Miss you mpendwa😍
Hata baadhi ya ma bar medi wanafanyaga izo mamboHaya wengi wao ni wajinga mno na limbukeni, wanadharau mno za chini chini wakati wana shida. Ni leo asubuhi nimeamka safi tu, nimepiga 'jogging' nimeoga, sasa ile saa 4 nakwenda kupata japo supu ndipo haya yaliponitokea.
Niliagiza vitumbua vya 2000 nikawa nakula viwili viwili kwa wakati, nikamaliza nikaagiza supu ya 4000 ya kongoro na nikashushia uji wa ulezi wa 1000. Sasa nasubiri chenchi yangu nao wananiangalia tu ilhali chakula nishamaliza kula, yaani tunaangaliana tu bila sababu.
Ghafla naona amezubaa, anakonyezana na wenzake kwa siri kisha kama wanateta. Ni utaratibu mbovu, mteja anaweza hisi hata mnapanga njama za kumuua.
Pia siyo lazima wakati mteja anakula naye anakaa hapo hapo mnaangaliana, huu ni ujinga. Mteja akila we' toka na upotee. DSM imeshamiri sana hii.
Badilikeni, acheni kuingilia faragha za wateja wenu.
Hakuna kitumbua cha jero kwa mama ntilie.kama kimoja jero means vi 4.. mbona vichache tu!!.Sema Hapo pa supu plus uji mimi ndipo niliposhangaa!!
Sawa! Japo bei zinatofautiana na maeneo!! Hakuna bei uniform!Hakuna kitumbua cha jero kwa mama ntilie.
Kitumbua ni 100/-
Imezidi sana 200/-.