Recent content by anewarick

  1. A

    JamiiForums Tanzania Ni siku ya kifo cha karume.

    Mauaji ya Sheikh Abeid Karume Kutoka kitabu Cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi. (Misheni ya Tatu) Baada ya kuona namna mwanamapinduzi halisi, Field Marshal John Okello, alivyoondolewa Zanzibar na kupokwa mamlaka na jinsi alivyoongoza Mapinduzi ya mwaka 1964, na kuundwa kwa Serikali ya Mseto...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

    Kuna picha moja hapo. kuna watumwa wako wengi na askari mweusi hii ina maana gani?. Then hiyo picha wako ndani ya kanisa la mkunazini je? Hawa walikuwa ni waarabu?. MIE NATOA CHALLENGE yoyote mwenye picha ilio pigwa ya mwarabu sio ya kuchora. Anipe na akitafuta atizame za wazungu amezipata...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

    Mtoa post kuwa makini na post yako. Mana naona kama una propaganda na utumwa na uwarabu ktk picha zako mimi sija ona sehemu zanzibar wala mwarabu. Ila nime ona watumwa na wazungu
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mdogo wake Diamond (S kide) amchana Harmorapa

    Weye ukiona mtu ana muumbuwa mtanzania mwenzake. Ujue tuko pabaya sana. Cjui nani wa kitu penda. Upuuzi mtupu. Ukimtizama huyo anae mwita mwenzake ngedere au sokwe yeye kuliko taka jalalani
  5. A

    JamiiForums Tanzania TANESCO wamekaidi agizo la Rais kuikatia umeme Zanzibar

    Haha niko znz na wajaribu kuzima.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania wote tukiwa maskini itatusaidia nini?

    Sote tukiwa masiki, sote tutakuwa kama rong turn
  7. A

    JamiiForums Tanzania Nimeota YESU amekuja kwa Mara ya pili

    Fanya usilimu kabla hajaja kuku kana kama sio muimba wako
  8. A

    JamiiForums Tanzania TANESCO wapandisha gharama za umeme kiaina

    Kwako ni ajabu sisi zanzibar tunatumia gharama hiyo miaka mingi tuuu
  9. A

    JamiiForums Tanzania Siku zinavyosonga mbele Tanzania inazidi kuangamia

    Uko juu
  10. A

    JamiiForums Tanzania Siku zinavyosonga mbele Tanzania inazidi kuangamia

    Ukisha maliza kuzoea katie vocha werevu wako ununue bandle
  11. A

    JamiiForums Tanzania Siku zinavyosonga mbele Tanzania inazidi kuangamia

    Tupigie japo picha halafu utuwekee tule. Mana nasikia siku izi kuna keki mpaka za mabasi,Mchele wa barabara, unga wa majumba na maji ya ya nguwo
  12. A

    JamiiForums Tanzania Siku zinavyosonga mbele Tanzania inazidi kuangamia

    Pale njaa itakapo zidi ndo uta tafuta na wewe group lako ktk takwimu hizi uki wacha werevu na werevu sana.
  13. A

    JamiiForums Tanzania Siku zinavyosonga mbele Tanzania inazidi kuangamia

    Mie nita msaidia 95% ya wa tz ni wajinga
Back
Top Bottom