Mdogo wake Diamond (S kide) amchana Harmorapa

Mdogo wake Diamond (S kide) amchana Harmorapa

Mvumbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
3,491
Reaction score
12,155
Kijana anaetafuta ugali kwa jina la S kide amedondosha ngoma kali inayokwenda kwa jina la Hamo rapa na humo ndani amefanya 'matusi' sana juu ya msanii anaekuja kwa kasi, Harmorapa.

Baadhi ya mistari ya wimbo huo inasema jamaa hafanani na Harmonize bali pacha wake ni Young killer, na pia kijana hajui mziki bali ni kituko.

Pia katika wimbo S kide anashangaa kwa nini yeye haitwi WCB na kaka yake wakati ana kipaji kikubwa.

Tujikumbushe; S kide alishawahi kutoa wimbo wa Kumsema vibaya Diamond, ameshawahi kutoa wimbo wa kumsema 20%, alishawi pia kupigwa na Ney wa mitego baada ya kuachia songi lililomlenga star huyo lililokwenda kwa jina la Dada Neema.

Nb: nimeshindwa kuuweka wimbo huu wa S kide unaoitwa Hamorapa, atakaeweza anisaidie umeenea blog zote za muziki nchini.
 
Kijana anaetafuta ugali kwa jina la S kide amedondosha ngoma kali inayokwenda kwa jina la Hamo rapa na humo ndani amefanya 'matusi' sana juu ya msanii anaekuja kwa kasi, Harmorapa.

Baadhi ya mistari ya wimbo huo inasema jamaa hafanani na Harmonize bali pacha wake ni Young killer, na pia kijana hajui mziki bali ni kituko.

Pia katika wimbo S kide anashangaa kwa nini yeye haitwi WCB na kaka yake wakati ana kipaji kikubwa.

Tujikumbushe; S kide alishawahi kutoa wimbo wa Kumsema vibaya Diamond, ameshawahi kutoa wimbo wa kumsema 20%, alishawi pia kupigwa na Ney wa mitego baada ya kuachia songi lililomlenga star huyo lililokwenda kwa jina la Dada Neema.

Nb: nimeshindwa kuuweka wimbo huu wa S kide unaoitwa Hamorapa, atakaeweza anisaidie umeenea blog zote za muziki nchini.
weka huo wimbo wacha maneno!
 
Harmorapa namuelewa sana. Ni mwanaharakati mzuri, Huyo mjinga mwingine simuelewi kabisa.!!!
 
Unavopoteza airtime yako kumfikiria na kumzungumzia mtu Ndo unampa kiki lkn mi naona harmorapa ni msanii kama wengine
 
Xax uyo anataka kuleta ujinga yan harmorapa awe pacha wa young killer duu.....kama nikiki bac imebuma
 
Hormorapper namwelewa sana mshkaji yupo kiharakati zaidi!
 
Harmorapa ana confidence sio overconfidence
That's why he is
 
Bwana mdogo S kide hana ubavu kabisa kwa Harmorapa, anachafua brand tu.
 
Weye ukiona mtu ana muumbuwa mtanzania mwenzake. Ujue tuko pabaya sana. Cjui nani wa kitu penda. Upuuzi mtupu. Ukimtizama huyo anae mwita mwenzake ngedere au sokwe yeye kuliko taka jalalani
 
Harmorapa kawa mkubwa so watu aina hii awatarajie kwa wingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom