Siku zinavyosonga mbele Tanzania inazidi kuangamia

Siku zinavyosonga mbele Tanzania inazidi kuangamia

Ni kigezo gani kinatumika kupima ujinga na werevu?
 
Delighted hardworking kwenye majiko ya wanaume wenzio. Mtoto si riziki wewe. Wewe ni mfanyabiashara huko ughaibuni wa ule mtandao pendwa na watu hawalipii huduma kwa cash si wanapitisha kwenye account? So hizo financial statements zako hatizanifanya nipate cardiac arrests coz najua hayo ni malipo ya kushika ukuta. So si ajabu.
Ukiacha matusi kuna nini kingine umechangia hapa?

Ndio aina ya Miwatu aliyosema ni Mijinga kupindukia na haielewi kama ni mijinga.

We unadhani una tusi jipya umetukana hapo?
 
Nafikiri suala siyo source, what is important here is the idea behind the thread being posted
 
Tena ujinga mkubwa kabisa ni ku-sacrifice uzalendo ili kushadidia matakwa ya wanasiasa. Ndio maana baadhi ya wanasiasa wameweza kuswitch sides na kuchota makundi ya wajinga licha ya hao hao kufahamika wazi kabisa kuwa hawafai kukabidhiwa japo kuwa balozi wa nyumba kumi!! Tumekuwa wajinga na kitoweo cha wanasiasa fake (opportunists)
 
Mkuu unayeangamia ni wewe. Ongelea nafsi yako. Kama kijana umewekeza maisha yako kwenye wanasiasa hadi mnabebeshwa briefcases kuangamia kwa Tanzania ya sasa hakuepukiki. Kama wenye hizo briefcases wamekata misaada makanisani wewe jitafakari...
 
Mkuu Yericko, japo sikubaliani na takwimu zako, kwasababu hazija reflect the truth reality lakini hoja yako ni ya msingi sana.

Kipindi cha Nyerere, there was a time Tanzania ndio ilikuwa na the highest literacy levels in Africa kufuatia elimu bure, UPE, na kisomo cha watu wazima ile elimu ya ngumbaru.

Ila nakubaliana na hoja yako kuwa Tanzania taifa la watu wajinga wajinga na sisi wengine hili tuliisha lisema sana tukalaumiwa tunawatukana Watanzania kuwa ni ma ignorants.

Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu?

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance?

Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance?

Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!.

Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.Tuache Cherry Picking Kutafuta Mbuzi Wa Kafara!.

Kuwajibishwa kwa Prof. Tibaijuka ni Muendelezo wa Ignorance at The Highest Levels! Mnashangilia Uji

Paskali
Kwa hiyo kuichagua CHADEMA ndio kiwango cha kuelimika?
 
Ni kigezo gani kinatumika kupima ujinga na werevu?
Kigezo hiki hapa

Hapa Mtanzania wa Arusha akimtukana Lowassa



Hapa Mtanzania huyo huyo wa Arusha akimkaribisha Lowassa awe Rais wake



Kwahiyo Vigezo tumeangalia hivyo
 
Maajabu ya bavicha haya,

Kila siku unatukana serikali ya JPm kwamba ni ya hovyo alafu unataka serikali hiyohiyo ikusomeshe!! ?

Shame on you
Unge fahamu hela ya serekali ni yako, usinge subutu kutamka maneno haya shame on you 2
 
acha maneno pandisha vitu bei ww

sukari toka 2000 mpk 2200

mafuta siongei nitaitwa mchochezi

gesi. 17000 mpk 23
 
Katika watu walifilisika kimawazo ni pamoja na huyu Yericko.Kama utafiti wako ni scientific&Quantitative ulipaswa kuweka data za kueleweka na sio kubandika % tu
Pale njaa itakapo zidi ndo uta tafuta na wewe group lako ktk takwimu hizi uki wacha werevu na werevu sana.
 
Hacha unafiki wewe bwana mdogo, umri mdogo unakuwa mnafiki, ukizeeka c utakuwa mchawi? Inamaana huoni kabisaa maendeleo yanavyokuja kwa kasi au umevaa miwani ya mbao na kujitoa akili?
Tupigie japo picha halafu utuwekee tule. Mana nasikia siku izi kuna keki mpaka za mabasi,Mchele wa barabara, unga wa majumba na maji ya ya nguwo
 
Mkuu Yericko, japo sikubaliani na takwimu zako, kwasababu hazija reflect the truth reality lakini hoja yako ni ya msingi sana.

Kipindi cha Nyerere, there was a time Tanzania ndio ilikuwa na the highest literacy levels in Africa kufuatia elimu bure, UPE, na kisomo cha watu wazima ile elimu ya ngumbaru.

Ila nakubaliana na hoja yako kuwa Tanzania taifa la watu wajinga wajinga na sisi wengine hili tuliisha lisema sana tukalaumiwa tunawatukana Watanzania kuwa ni ma ignorants.

Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu?

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance?

Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance?

Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!.

Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.Tuache Cherry Picking Kutafuta Mbuzi Wa Kafara!.

Kuwajibishwa kwa Prof. Tibaijuka ni Muendelezo wa Ignorance at The Highest Levels! Mnashangilia Uji

Paskali
Uko juu
 
Kwa hiyo kuichagua CHADEMA ndio kiwango cha kuelimika?
Mkuu Nyenyere, msikilize huyu mtu aliwahi kusema nini...
Albert Einsten aliwahi sema:

"Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results"

Na Mwalimu Nyerere aliwahi kusema
"Kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia makosa". Akaendelea kusema "Kila awamu ina mazuri yake na mengine ya kijinga, nashangaa sana watawala wetu wanayaacha mazuri na kukumbatia ya kijinga", hivyo hiyo ni proof kuhusu Ignorance yetu sisi Watanzania!.

And the issue is not about Chadema, bali ni kitendo cha licha ya madudu yote, lakini Watanzania wanaendelea kukichagua chama kile kile, watu wale wale na mambo yale yale.

Siku za nyuma we had no alternative, but now days we have a choice to choose from and not necessarily Chadema.

Paskali
 
Mkuu Nyenyere, msikilize huyu mtu aliwahi kusema nini...
Albert Einsten aliwahi sema:

"Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results"

Na Mwalimu Nyerere aliwahi kusema
"Kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia makosa". Akaendelea kusema "Kila awamu ina mazuri yake na mengine ya kijinga, nashangaa sana watawala wetu wanayaacha mazuri na kukumbatia ya kijinga", hivyo hiyo ni proof kuhusu Ignorance yetu sisi Watanzania!.

And the issue is not about Chadema, bali ni kitendo cha licha ya madudu yote, lakini Watanzania wanaendelea kukichagua chama kile kile, watu wale wale na mambo yale yale.

Siku za nyuma we had no alternative, but now days we have a choice to choose from and not necessarily Chadema.

Paskali
Agreed, lakini mkuu, we don't have that much options. Kwa bara usipoitaja CHADEMA utakitaja chama kipi tena!? Sasa angalia staratergies zake, they are not honest, why should we trust them? Kimegeuka chaka la opportunists, wale figures waliowajenga wamefanya kazi ya kuwabomoa! We need changes, but who should we entrust then?
 
Back
Top Bottom