Nimesikitishwa na kutofahamika kwa matumizi hayo na mamlaka husika. Hii inaongesha tunatumia bidhaa nyingi sana mtaani ambazo hazijahalalishwa.
Kila mamlaka inamtupia mwenzake hilo swala, no one needs to be responsible for it
Kama kweli wampenda uyo mwanadada kupika isiwe kikwazo cha upendo wenu.... Isitoshe suala la upishi ni jambo la kurekebishika tu... Unaweza mfundisha we mwenyew taratibu na kuelewa... Natumaini hata wewe binafsi hukuzaliwa na kujua kupika papo hapo.....
Ifike kipindi uone ni hali ya kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.