Recent content by Andrew Njwaba

  1. Andrew Njwaba

    Madaktari waonya kuhusu matumizi ya Vipipi Mahaba

    Nimesikitishwa na kutofahamika kwa matumizi hayo na mamlaka husika. Hii inaongesha tunatumia bidhaa nyingi sana mtaani ambazo hazijahalalishwa. Kila mamlaka inamtupia mwenzake hilo swala, no one needs to be responsible for it
  2. Andrew Njwaba

    Leo kila mtu ataje majina ya wapenzi wake hapa

    [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] kwa list hyo yaitajika maombi ya mwaka mzma ndo utaacha
  3. Andrew Njwaba

    Leo kila mtu ataje majina ya wapenzi wake hapa

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  4. Andrew Njwaba

    Ushauri: Huyu binti kumbe hajui kupika

    Kama kweli wampenda uyo mwanadada kupika isiwe kikwazo cha upendo wenu.... Isitoshe suala la upishi ni jambo la kurekebishika tu... Unaweza mfundisha we mwenyew taratibu na kuelewa... Natumaini hata wewe binafsi hukuzaliwa na kujua kupika papo hapo..... Ifike kipindi uone ni hali ya kawaida...
  5. Andrew Njwaba

    Itungwe sheria ya kusapoti polisi kwa lazima

    Kwann iwe lazma...unataka kusema kwamba Polisi wao hawezifanya vitu ndivyo sivyo..
  6. Andrew Njwaba

    Ushauri: Mke kamjaribu mume kwa kuchat naye katika mitandao ya kijamii, sasa mume hataki kumuona

    Alikosa Kazi za kufanya huyo mwanamke....kumpima gan mumeo kwa picha za utupu
  7. Andrew Njwaba

    Eti uchochezi, uchochezi gani?

    Binafsi sijalewa n Uchochezi gan wanaouzungumzia
  8. Andrew Njwaba

    Msaada wana JF, aliye na ufahamu na chuo cha madini Dodoma

    Nkushaur azipe priority Mining Eng na Mineral Processing
  9. Andrew Njwaba

    Tanzia: Msiba wa kihistoria ulioitikisa Lindi mjini, 7 wafariki

    Mungu awape nguvu wafiwa...Mungu awalaze pema pepon
  10. Andrew Njwaba

    Kipanya nae.

    Hahahahahaha.......habar anayoo
Back
Top Bottom