maatope
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,424
- 957
Watu baadhi wanashangilia polisi wakiuawa on duty, sasa iwekwe sheria ya kulazimisha watu kuwasifu wanapofanya kazi nzuri kwa mfano jana huko Kigoma walipozuia yale majangili yaliyotaka kupora ardhi ya mwekezaji mwema
hivi TCRA mlikuwepo wapi wakati polisi Singida walipotoa idea ya kum ban Tundu Lissu on social media, mlishindwa kusapoti polisi? Ndo maana ishu ya zamaradi na shoga imewashinda.
Polisi wa Tanzania ni the best in Afrika especial pale wanapopataga intelejensia ya vurugu za maandamano, they have ear on the street, salute kwao
nashangaa eti kuna watu wamelalamika kuuawa kwa mhalifu huko mbeya no wonder mtukufu mkuu alishangaa inakuwaje raia hawaogopi polisi, inabidi waogopewe hamna kuchekeanachekeana.
hivi TCRA mlikuwepo wapi wakati polisi Singida walipotoa idea ya kum ban Tundu Lissu on social media, mlishindwa kusapoti polisi? Ndo maana ishu ya zamaradi na shoga imewashinda.
Polisi wa Tanzania ni the best in Afrika especial pale wanapopataga intelejensia ya vurugu za maandamano, they have ear on the street, salute kwao
nashangaa eti kuna watu wamelalamika kuuawa kwa mhalifu huko mbeya no wonder mtukufu mkuu alishangaa inakuwaje raia hawaogopi polisi, inabidi waogopewe hamna kuchekeanachekeana.