Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,931
Mmmh kwanza una mpango wa kumuoa au wataka kumchezea tu? kama vipi usimpotezee muda wake kutokujua kupika sio sabab ya kumuacha mwanamke kama kweli unampenda, Au unataka wale wanaojua kupika lakini ni wasaliti??? anaweza akajifunza ndani ya miezi michache tu na akawa mpishi mzuri tu.
Hivi nini maana ya 'kumchezea'? Kwa sababu mwanaume na mwanamke wakikutana uwanjani ni kama vile wote wanacheza mpira na sio mmoja kuwa mpira. Wote wanapigiana pasi mpaka magoli yanafungwa. Mfano mwingine, hivi mwichi na kinu au kijiko na kikombe cha chai au kibao cha kusukumia chapati na ule msukumio kipi kinamchezea mwezie? au vinachezeana? Au hakuna cha kumchezea mwenzie?