Recent content by Andrew gayo

  1. Andrew gayo

    Kinachomsumbua Lowassa ni hiki

    Mwache aponzwe na tamaa yake mwenyewe ,Watanzania wa leo si wale wa miaka ya 1960 .
  2. Andrew gayo

    Kwanini "kingmaker" Rostam Aziz amerudi nchini kipindi cha uchaguzi?

    Hawana chao , amekuja kushuhudia kaburi la mafisadi maccm .
  3. Andrew gayo

    Huu uonevu wa wanajeshi Ikulu usifumbiwe macho

    Hawawezi kutolea ufafanuzi , hivi hukumsikia yule mh aliposema Bungeni akiwaagiza askari wapige raia . Siku tukichoka wataipata fresh yao .
  4. Andrew gayo

    Yanayojiri Bungeni Dodoma leo tarehe 21 May 2015

    Tutakutana October , ndipo mtakapojua kuwa wananchi tumechoshwa na dharau zenu .
  5. Andrew gayo

    Huu ndio mchezo wanaochezewa UKAWA

    Thubutu , moto watajiwashia wenyewe hawo makurunzinza .
  6. Andrew gayo

    CCM hali tete,NEC ni tegemeo

    Hata kufa ikibidi kife , ili Watanzania tuwe huru .
  7. Andrew gayo

    Gonga Like Kuwaenzi Akina Mama Wote Duniani

    Maisha marefu kwa mama , ahsante mama .
  8. Andrew gayo

    Mbio za Urais Ndani ya CCM sasa Zimefikia Pabaya

    Ukila nyama ya mtu hutaiacha , utaendelea kuila .
  9. Andrew gayo

    Tafakuri yangu: Waislamu wanaonewa au wamekosa elimu?

    Pole yenu , mnaofuata msiyoyafahamu .
  10. Andrew gayo

    Tanzania ni nchi pekee duniani inayojiendesha yenyewe bila Rais

    Watanzania ni wasaulifu Mwalimu Nyerere mwaka 1995 alituambia huyu hajakuwa , kwa usahalifu wetu 2005 tukampa nchi . Tunachokishuhudia sasa ndicho alichokuwa akikimaanisha Mwalimu , Baba wa taifa la Tanzania , makosa ya 2005 /2010 tusiyarudia mwaka huu .
  11. Andrew gayo

    Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

    Kwa safari hizi zote alizosafiri taifa limepata faida gani ? Wana jf mnijulishe .
  12. Andrew gayo

    Amon Mpanju:Tume ya Jaji Warioba haikuongozwa na Weledi

    Nyie maccm Mzee Warioba kawakosea nini ?
  13. Andrew gayo

    CCM msimamisheni Benjamini Mkapa nafasi ya urais mshinde kiurahisi

    Acheni mzee Mkapa apumzike , hivi haukumbuki maneno ambayo aliwahi kuyatamka nayo ni haya Ccm kuna mtu ambaye itamfia , unataka agombee ili imfie ? Mkapa ni kichwa hata wakivunja kanuni hatokubali uozo huo .
  14. Andrew gayo

    Mapepo matano yanayoitesa dunia

    Ahsante kwa kutufunga na Mungu akubariki .
Back
Top Bottom