Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Mkuu kwanza za siku tele upo?
Ukawa wanajichezea wenyewe na uroho wao wa madaraka na kutaka wapate vya haraka hata kama hawastaili.
Umeacha WAROHO wa MADARAKA ambao wanaununua kwa PESA za WIZI unakwenda kwa watu wanaojinadi?Ukiwa MPU....MBAVU basi ufiche japo kidogo,tumia akili ya kuzaliwa siyo kila wakati unaropoka..........Acha kama umezoea ATM basi safari hii imefungwa