Fungu la kumi ni upigaji kanisani.
Sadaka ni utapeli pia.
Kama una nafasi ya kusaidia mtu mmoja mmoja au kikundi bora kufanya hivyo mtaani lakini siyo kanisani
Zanzibar siyo nchi ndiyo maana haijawahi kushiriki mashindano ya kusaka nafasi ya Afcon, lakini kwa upande wa vilabu inatambulika hivyo ndiyo maana ligi yao inatoa timu kushiriki mashindano ya vilabu barani Afrika.
Panapokuwa na utata wa mechi hutafutwa suluhisho iwe kiwanja au marefa kutoka...
Acha kuchanganya mambo,TFF haingililiani na ZFF kwenye uendeshaji wa ligi. Mchezo wa ngao ya jamii ni ufunguzi wa ligi nchini chini ya chama husika.
Tuwaache ZFF nao wasimamie mchezo wa ngao ya jamii kufungua ligi kuu nchini mwao.
Umaskini ni mfumo uliotengenezwa na serikali, miundombinu yake ni kodi na makwazo mengine ya kibinadamu.
Ili kuondokana na umaskini lazima uharibu miundombinu yake (kukwepa kodi) na kuzitafuta fursa za kukufanya ukimbizane na mamlaka husika...
Utajiri unapingana na utii na huruma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.