Kanisa lisibebeshwe mzigo wa kumtafuta Nchimbi,ni sawasawa na kusema suala la Nchimbi aachiwe Mungu.
Kama wananchi wana wasiwasi juu ya kiongozi wao kuto kujua mahali alipo wamechukua hatua gani dhidi ya serikali ?
Kama wapo waprotenstanti, waislamu,wapentekosti na wasio na dini wanao uumia kwa...
Kumbe Katambi ana mahakama!
Uwezo wetu wa kufikiri umefika mwisho.
Miaka ya nyuma alikuwepo Mrema akaanzisha ujinga kama huo,akazivuruga familia,mambo ya mahakamani akayafanya yeye,ukawa mtaji wa kisiasa akaukwaa unaibu waziri Mkuu.
Makonda naye akaja akaharibu taswira za watu, wale wavivu wa...
Mwaka kati ya 1982 au 1983 hilo shairi lilitoka kwenye mtihani wa darasa la saba sambamba na usemi wa "majuto ni mjukuu"
Wanyakyusa huko kwao kuna ndege aliendana na hizo rangi zote, kwa hiyo jibu likawa ni ndege KISUPE.
Swali la "majuto ni mjukuu" walimalizia wa MWAISUMO maana alikuwepo...
Ipy alifariki siku moja baada ya kushinda uwenyekiti uvccm Dar.
Alisoma Highlands Iringa akiwa mcheza basketball mzuri
Kabla ya kifo chake kaka yake alikufa kwa ajali akiwa mwaka wa kwanza Ud,na dada yake Cath pia.
Alikuwa anajiandaa kwenda kwenye party Leaders,akawaacha wenzake chini nyumbani...
Ipy aligombea umwenyekiti yuvisisiem mkoa wa Dar na alishinda,shangwe zikiendelea kwenda kuparty leaders then kokubichi na vijana wa istkosti na wale tiemkei haikufika saa kumi jioni jogoo akawa amewika kwa mzee Male...
Kijana alikuwa anaufuata umwenyekiti wa yuvisisiem taifa,ikawa ndio hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.