Recent content by andjul

  1. andjul

    JamiiForums Tanzania Mpumbavu hawez kua na Akili, Temba kauwawa wanasingizia 'Mganga', Mfanyabiashara Kauwawa 'Mwili umekutwa kwa ' Mganga'. Fumbueni Macho!

    Eti kama Chaula wa Ntokela kuchoma tu kikaratasi cha picha ya kuchora "kaadimika" mpaka leo....halafu inasingiziwa sirikali kuadimika kwake
  2. andjul

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Lililotokea halikuwa jema kwa yeyote lakini walivyokamatwa kama mama nikasema waachieni. Yaliyotokea yametia doa kwenye Taifa letu

    Umesema "maisha ni zaidi ya siasa", lakini kumbuka nchini kwako siasa ndizo zinazo endesha maisha ya wananchi. Kila kitu kimeachwa kiamuliwe na wana siasa ili maisha yasonge mbele
  3. andjul

    JamiiForums Tanzania Kwa nini watu wanasali?

    Usiposali kuna uwezekano ule mpango uliopangiwa na Mungu usitimie?
  4. andjul

    JamiiForums Tanzania Kwa nini watu wanasali?

    Eti wana wanamkumbusha Mungu ezi ifu wakati wa kuzaliwa walipewa na kitabu cha namna maisha yao yatakavyo kuwa uraiani...
  5. andjul

    JamiiForums Tanzania Tulimtafuta siku nne tulimkosa 😂😂

    Yaani ilimpiga mapema sana😀😀😀
  6. andjul

    JamiiForums Tanzania Tulimtafuta siku nne tulimkosa 😂😂

    Mama mdogo aliondoka na sufuria la ukoko akaaga anaenda kuosha mtoni,baada ya siku mbili ikaja fahamika yupo kwa mwanaume na sufuria alilificha kwenye kichaka. Nikimkumbusha mama mdogo lile tukio huwa anajisikia vibaya kwasababu ana mtoto wa kike msumbufu hivyo hivyo. Pumzika kwa amani baba mdogo
  7. andjul

    JamiiForums Tanzania Mwili wa mtu aliyekufa umekutwa kwenye Daraja la Salender ukiwa unaelea

    Nilivyo ona neno "alali" kwenye mwandiko wako nimejisemea tu "wale wale ee"....
  8. andjul

    JamiiForums Tanzania Mwili wa mtu aliyekufa umekutwa kwenye Daraja la Salender ukiwa unaelea

    Unataka kusema kwa sasa tuna maudhi ya(kufanana) kitaifa na hata kifo kitakuwa cha kitaifa? Ukipatikana mwili umekatwa kichwa au mwili upo kwenye kiroba au mtu kapotea kabisa tukio hilo liamuliwe kama kifo cha kitaifa,hakuna upelelezi unao hitajika.
  9. andjul

    JamiiForums Tanzania Wote tunabeti hakuna aliye salama kama kubeti ni dhambi

    Kwa yale matangazo ya kwenye TV ni zaidi ya kupigiwa simu mamaangu. Nani hapendi kufanikiwa!
  10. andjul

    JamiiForums Tanzania Wote tunabeti hakuna aliye salama kama kubeti ni dhambi

    Unatoa laana ya kitaifa kwani wewe ndiye rais? Mpinge kwa hoja,kamari imehalalishwa na serikali ndiyo maana makampuni ya kamari yana lipa kodi.
  11. andjul

    JamiiForums Tanzania Wote tunabeti hakuna aliye salama kama kubeti ni dhambi

    Kuna sadaka ya kujimaliza kwa Mwamposa.
  12. andjul

    JamiiForums Tanzania Didier Drogba kuwa makini na Paul Makonda, hatakiwi Marekani na nchi washirika kwa tuhuma za mauaji, atakuponza

    😆😆😆 Hawa vijana wanataka kutupelekesha,hawajui tuliko toka ni mbali na tumeyajua mengi.
  13. andjul

    JamiiForums Tanzania Didier Drogba kuwa makini na Paul Makonda, hatakiwi Marekani na nchi washirika kwa tuhuma za mauaji, atakuponza

    Sema kale kakideo ka klauzi media kalimponza sana bwana mdogo. Mwanzo alikana shutuma za uvamizi,mara kakideo haka hapa,dogo akazuga "kutembelea marafiki siyo dhambi"... Mara issue ya "Modeuji" hii hapa,dogo kimbele mbele,ropo ropo dude likamuangukia... Suala la vijana wa "kuchana"...
  14. andjul

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina neno, jioneeni wenyewe

    Wanaume tungeijua lugha waliyoitumia nyoka na mwanamke kwenye mjadala wao siku ya kwanza labda tungepata suluhisho. Sio ajabu nyoka na mwanamke wakawa bado wanawasiliana na kupanga mipango ya kumuangamiza mwanaume, halafu Mungu kapiga kimyaa... Katika hili Mungu hana msaada wowote kwa mwanaume
Back
Top Bottom