Maombi yapo hata kabla ya hizo dini hazija letwa,wazee wetu waliabudu na kutambika (kutoa sadaka) ili jambo lao litimie na lilitimia kweli.
Maombi yao yalipo jibiwa kwa usahihi walisherehekea,wanaume hawakusubiri wafike ahera ndipo wapate mabikira bali walijitwalia hapo hapo. Walikula,walikunywa...
Itatumika gharama kubwa sana kuzitetea hizo dini lakini ukweli utabaki palepale,kitendo cha kupoteza muda kwa kushinda kwenye ibada za kusubiri miujiza ya utajiri wa mbinguni tusiko kufahamu tukaachana na utafutaji wa jasho na damu kila saa kila siku Waafrika tutaendelea kuwa maskini wa kutupwa...
Kwa kuiweka nafsi huru, tukubali tu kuwa dini hizi ngeni zimeutafuna ubongo wa Mwaafrika,hata tuzitetee kwa gharama kubwa kiasi gani ukweli utabaki palepale, waafrika tumepoteza uwezo wa kufikiri na chanzo kikiwa ni hizi dini mbili.
Mwaafrika anaingia kwenye maombi hajui anaenda kumuomba nini...
Mwenzako kwenye mada yake alielezea vizuri sana kinacho endelea UDOM,wewe badala ya kuchamba ungempinga yale yote yasiyo ya kweli na ungeyatolea ufafanuzi mengine aliyo yapindisha kwa faida yake.
Kwa ujio wako wa kuchamba basi,ni dhahiri UDOM imepoteza hadhi yake
Kutoa msaada kwa ndugu ni wajibu wako na hakuna baraka.
Kusaidia wasio jiweza au wapo kwenye mkwamo ndipo palipo na baraka maana unatoa kwa maumivu na hautarajii kupata chochote kutoka kwake na inawezekana usionane tena na uliyempa msaada. Huko aliko yeye atakuombea kwa Mungu kila lililo la...
Tuliaminishwa suti zao zina dawa,kila wakiongea walikuwa wanajitengeneza suti zao zikae vizuri,dakika sifuri watu walikuwa wana saini mikataba feki,hela zinatoka.
Ilikuwa rahisi kuachiwa kutokana na ile mikataba ya mauziano pamoja na ushirikiano na wenye mamlaka wasio kuwa waaminifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.