Recent content by andjul

  1. andjul

    Dini Ndiyo 'Software' (KIRUSI) Namba Moja InayoProgram Waafrika Kuwa Masikini Wa Kutupwa Kizazi Hadi Kizazi.

    Maombi yapo hata kabla ya hizo dini hazija letwa,wazee wetu waliabudu na kutambika (kutoa sadaka) ili jambo lao litimie na lilitimia kweli. Maombi yao yalipo jibiwa kwa usahihi walisherehekea,wanaume hawakusubiri wafike ahera ndipo wapate mabikira bali walijitwalia hapo hapo. Walikula,walikunywa...
  2. andjul

    Dini Ndiyo 'Software' (KIRUSI) Namba Moja InayoProgram Waafrika Kuwa Masikini Wa Kutupwa Kizazi Hadi Kizazi.

    Itatumika gharama kubwa sana kuzitetea hizo dini lakini ukweli utabaki palepale,kitendo cha kupoteza muda kwa kushinda kwenye ibada za kusubiri miujiza ya utajiri wa mbinguni tusiko kufahamu tukaachana na utafutaji wa jasho na damu kila saa kila siku Waafrika tutaendelea kuwa maskini wa kutupwa...
  3. andjul

    Dini Ndiyo 'Software' (KIRUSI) Namba Moja InayoProgram Waafrika Kuwa Masikini Wa Kutupwa Kizazi Hadi Kizazi.

    Kwa kuiweka nafsi huru, tukubali tu kuwa dini hizi ngeni zimeutafuna ubongo wa Mwaafrika,hata tuzitetee kwa gharama kubwa kiasi gani ukweli utabaki palepale, waafrika tumepoteza uwezo wa kufikiri na chanzo kikiwa ni hizi dini mbili. Mwaafrika anaingia kwenye maombi hajui anaenda kumuomba nini...
  4. andjul

    Odero: Hakuna kikao cha CHADEMA kilichoazimia kukataa Maridhiano

    Neno "Maridhiano" linatumika vibaya.
  5. andjul

    Wanafunzi wa UDOM mpo chuo kikuu hampo secondary acheni kuandika andika mitandaoni mnatia kinyaa sana

    Thread 'Yanayoendelea UDOM yanasikitisha sana, na hayafai' KERO - Yanayoendelea UDOM yanasikitisha sana, na hayafai
  6. andjul

    Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia

    "Nguzo" aliyoiegamia haigusiki na mtu yeyote isipokuwa miamba yake
  7. andjul

    Wanafunzi wa UDOM mpo chuo kikuu hampo secondary acheni kuandika andika mitandaoni mnatia kinyaa sana

    Mwenzako kwenye mada yake alielezea vizuri sana kinacho endelea UDOM,wewe badala ya kuchamba ungempinga yale yote yasiyo ya kweli na ungeyatolea ufafanuzi mengine aliyo yapindisha kwa faida yake. Kwa ujio wako wa kuchamba basi,ni dhahiri UDOM imepoteza hadhi yake
  8. andjul

    Wasiwasi watanda, Tume ya Jaji Chande ikikamilisha ripoti yake

    Lakini huyo bwana mdogo amejishikilia kwenye "nguzo" gani imara kiasi hicho hadi kuwa juu ya mamlaka ya uteuzi?!!
  9. andjul

    Kutoa msaada ni sadaka inayoweza kukufanikisha katika mambo mengi kwenye maisha yako

    Kutoa msaada kwa ndugu ni wajibu wako na hakuna baraka. Kusaidia wasio jiweza au wapo kwenye mkwamo ndipo palipo na baraka maana unatoa kwa maumivu na hautarajii kupata chochote kutoka kwake na inawezekana usionane tena na uliyempa msaada. Huko aliko yeye atakuombea kwa Mungu kila lililo la...
  10. andjul

    Matapeli wa zamani wa Kyela, Maskita na Mwamkenja walipotelea wapi?

    Tuliaminishwa suti zao zina dawa,kila wakiongea walikuwa wanajitengeneza suti zao zikae vizuri,dakika sifuri watu walikuwa wana saini mikataba feki,hela zinatoka. Ilikuwa rahisi kuachiwa kutokana na ile mikataba ya mauziano pamoja na ushirikiano na wenye mamlaka wasio kuwa waaminifu
  11. andjul

    Matapeli wa zamani wa Kyela, Maskita na Mwamkenja walipotelea wapi?

    Mwankenja na mwenzake walisumbua sana ni miaka ya 80. Keta nungwe tukwagana mufwa
Back
Top Bottom