Recent content by andjul

  1. andjul

    JamiiForums Tanzania Orodha ya maneno na misemo ya kutumia msibani - Ukienda tofauti unaweza pelekwa jela

    Binadamu tumejaa unafiki. Mtu alikuwa mbakaji au jambazi kauawa na raia waliokosa uvumilivu, kwenye jeneza lake anatakiwa apambwe kwa maneno mazuri!!
  2. andjul

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Haumtafutii mke wako,unajitafutia wewe unaye taka mtoto. Muda ukifika wa mkeo kutaka mtoto naye atajitafutia... Simpo laiki zati...
  3. andjul

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki lisiogope kumtafuta Emmanuel Nchimbi. Kwa hadhi ya Nchimbi sio ya kuacha apotezwe

    Kanisa lisibebeshwe mzigo wa kumtafuta Nchimbi,ni sawasawa na kusema suala la Nchimbi aachiwe Mungu. Kama wananchi wana wasiwasi juu ya kiongozi wao kuto kujua mahali alipo wamechukua hatua gani dhidi ya serikali ? Kama wapo waprotenstanti, waislamu,wapentekosti na wasio na dini wanao uumia kwa...
  4. andjul

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Kama haujui kuwa hao mashahidi wataongozwa na Lissu kuhojiwa nyamaza.
  5. andjul

    JamiiForums Tanzania Yesu anaweza kuizuia El Niño. Ukweli huu hapa!

    Ni nani huyu?
  6. andjul

    JamiiForums Tanzania Kazi aliyoifanya katambi ilipaswa kufanywa na MAMA GWAJIMA,BASATA

    Kumbe Katambi ana mahakama! Uwezo wetu wa kufikiri umefika mwisho. Miaka ya nyuma alikuwepo Mrema akaanzisha ujinga kama huo,akazivuruga familia,mambo ya mahakamani akayafanya yeye,ukawa mtaji wa kisiasa akaukwaa unaibu waziri Mkuu. Makonda naye akaja akaharibu taswira za watu, wale wavivu wa...
  7. andjul

    JamiiForums Tanzania Wahenga tujuane hapa..

    Mwaka kati ya 1982 au 1983 hilo shairi lilitoka kwenye mtihani wa darasa la saba sambamba na usemi wa "majuto ni mjukuu" Wanyakyusa huko kwao kuna ndege aliendana na hizo rangi zote, kwa hiyo jibu likawa ni ndege KISUPE. Swali la "majuto ni mjukuu" walimalizia wa MWAISUMO maana alikuwepo...
  8. andjul

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Wanasiasa tuwaachie mambo yao,hata sijui walihusianisha vipi hilo tukio. Naamini kilikuwa ni kifo cha kawaida tu.
  9. andjul

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Na kuna mjukuu pia
  10. andjul

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Upo sahihi
  11. andjul

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Nadhani yupo mmoja ni jaji kama sikosei
  12. andjul

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Ipy alifariki siku moja baada ya kushinda uwenyekiti uvccm Dar. Alisoma Highlands Iringa akiwa mcheza basketball mzuri Kabla ya kifo chake kaka yake alikufa kwa ajali akiwa mwaka wa kwanza Ud,na dada yake Cath pia. Alikuwa anajiandaa kwenda kwenye party Leaders,akawaacha wenzake chini nyumbani...
  13. andjul

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Akiwa na miaka 25 tu akawa ni mtu wa watu
  14. andjul

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Ipy aligombea umwenyekiti yuvisisiem mkoa wa Dar na alishinda,shangwe zikiendelea kwenda kuparty leaders then kokubichi na vijana wa istkosti na wale tiemkei haikufika saa kumi jioni jogoo akawa amewika kwa mzee Male... Kijana alikuwa anaufuata umwenyekiti wa yuvisisiem taifa,ikawa ndio hivyo...
Back
Top Bottom