Recent content by andjul

  1. andjul

    JamiiForums Tanzania *Karibuni kwenye Channel Yangu ya Memes – Twende Tukacheke🤣 na kufurah😊 Pamoja!!!!*

    Na mimi nitafute kichekesho... Nitarudi tena mkuu
  2. andjul

    JamiiForums Tanzania Nahitaji 260,000k Tarehe 18 mwezi huu naombeni kazi au mchongo mpaka tarehe hiyo niwe nimepata hiyo hela

    Kitaaluma mimi ni mhasibu Ungenisoma vizuri sijamkejeli bali nimemjenga kisaikolojia
  3. andjul

    JamiiForums Tanzania Nahitaji 260,000k Tarehe 18 mwezi huu naombeni kazi au mchongo mpaka tarehe hiyo niwe nimepata hiyo hela

    Ombi lako umeandika kiutani jiandae kujibiwa kiutani na kejeli. 260,000k ni sawa sawa na 260,000,000 yaani milioni mia mbili sitini.
  4. andjul

    JamiiForums Tanzania Fungu lako la Kumi unapeleka wapi?

    Fungu la kumi ni upigaji kanisani. Sadaka ni utapeli pia. Kama una nafasi ya kusaidia mtu mmoja mmoja au kikundi bora kufanya hivyo mtaani lakini siyo kanisani
  5. andjul

    JamiiForums Tanzania Napinga mechi ya ngao ya jamii kupelekwa Zanzibar

    Zanzibar siyo nchi ndiyo maana haijawahi kushiriki mashindano ya kusaka nafasi ya Afcon, lakini kwa upande wa vilabu inatambulika hivyo ndiyo maana ligi yao inatoa timu kushiriki mashindano ya vilabu barani Afrika. Panapokuwa na utata wa mechi hutafutwa suluhisho iwe kiwanja au marefa kutoka...
  6. andjul

    JamiiForums Tanzania Taarifa maalumu ya kumpokea M/Kiti wa chama Taifa Mh Tundu A. M. Lissu kwa wana CHADEMA wote, wafuasi na wapenzi toka gereza la Ukonga - DSM

    Unataka kusema mamlaka ina 'demka' na kauli za mtandaoni?
  7. andjul

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya kutoka Ibanda mpaka Kyela Mjini irekebishwe, kuna sehemu zina mashimo mengi

    Alaaniwe Kinanasi kwa tamaa zake
  8. andjul

    JamiiForums Tanzania Napinga mechi ya ngao ya jamii kupelekwa Zanzibar

    Acha kuchanganya mambo,TFF haingililiani na ZFF kwenye uendeshaji wa ligi. Mchezo wa ngao ya jamii ni ufunguzi wa ligi nchini chini ya chama husika. Tuwaache ZFF nao wasimamie mchezo wa ngao ya jamii kufungua ligi kuu nchini mwao.
  9. andjul

    JamiiForums Tanzania Je, maskini wawili wakiungana kupitia ndoa wanaweza ushinda umaskini?

    Umaskini ni mfumo uliotengenezwa na serikali, miundombinu yake ni kodi na makwazo mengine ya kibinadamu. Ili kuondokana na umaskini lazima uharibu miundombinu yake (kukwepa kodi) na kuzitafuta fursa za kukufanya ukimbizane na mamlaka husika... Utajiri unapingana na utii na huruma.
  10. andjul

    JamiiForums Tanzania Je level ya elimu ya Lissu haijafika kuitwa Daktari au Profesa?

    Uzamili kwenye sheria. Ni wakili
  11. andjul

    JamiiForums Tanzania Nisikilizwe nishauriwe ukweli mtupu nisije kujuta maisha yangu yote

    Bora uishi na mtu anaye kupenda maana atakujali kuliko mtu unaye mpenda sababu haujui hisia zake kazipeleka wapi
  12. andjul

    JamiiForums Tanzania Nisikilizwe nishauriwe ukweli mtupu nisije kujuta maisha yangu yote

    Kiujumla wanawake wengi wao huwa hawajui wanataka nini kwenye haya maisha
  13. andjul

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya ngozi 'Ku glow'?

    Hapana,siyo upande huo. Usinielewe vibaya, mwenye Id hiyo alikuwa mdogo na hajaonekana Jf ni muda mrefu
  14. andjul

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya ngozi 'Ku glow'?

    Mkuu nilikuwa nakufananisha na Id ya ledada,hapo kwenye kuwa na binti ndio umenishitua
  15. andjul

    JamiiForums Tanzania THE GOAT WHO STOOD FIRM: Nguvu ya Simba, Ukaidi wa Mbuzi

    Tumekuwa walevi wa Jf kutokana na uhakika wa usalama wetu.
Back
Top Bottom