Umesema "maisha ni zaidi ya siasa", lakini kumbuka nchini kwako siasa ndizo zinazo endesha maisha ya wananchi.
Kila kitu kimeachwa kiamuliwe na wana siasa ili maisha yasonge mbele
Mama mdogo aliondoka na sufuria la ukoko akaaga anaenda kuosha mtoni,baada ya siku mbili ikaja fahamika yupo kwa mwanaume na sufuria alilificha kwenye kichaka.
Nikimkumbusha mama mdogo lile tukio huwa anajisikia vibaya kwasababu ana mtoto wa kike msumbufu hivyo hivyo.
Pumzika kwa amani baba mdogo
Unataka kusema kwa sasa tuna maudhi ya(kufanana) kitaifa na hata kifo kitakuwa cha kitaifa?
Ukipatikana mwili umekatwa kichwa au mwili upo kwenye kiroba au mtu kapotea kabisa tukio hilo liamuliwe kama kifo cha kitaifa,hakuna upelelezi unao hitajika.
Sema kale kakideo ka klauzi media kalimponza sana bwana mdogo. Mwanzo alikana shutuma za uvamizi,mara kakideo haka hapa,dogo akazuga "kutembelea marafiki siyo dhambi"...
Mara issue ya "Modeuji" hii hapa,dogo kimbele mbele,ropo ropo dude likamuangukia...
Suala la vijana wa "kuchana"...
Wanaume tungeijua lugha waliyoitumia nyoka na mwanamke kwenye mjadala wao siku ya kwanza labda tungepata suluhisho. Sio ajabu nyoka na mwanamke wakawa bado wanawasiliana na kupanga mipango ya kumuangamiza mwanaume, halafu Mungu kapiga kimyaa... Katika hili Mungu hana msaada wowote kwa mwanaume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.