Nini maana ya ngozi 'Ku glow'?

Nini maana ya ngozi 'Ku glow'?

oooh!!!! nimeelewa.

Binti yangu aliniletea upuuzi huo wa ku glow akaja na product sizikuzielewa nikampiga mkwala,, nikamwambia humu tunatumia clear essence tu.
akianza kujihudumia ndio ataingia huko
Mkuu nilikuwa nakufananisha na Id ya ledada,hapo kwenye kuwa na binti ndio umenishitua
 
Kuna watu wana glow ile ya natural bila cleanser wala sunscreen oyaah awe mweusi au mweupe wanang'aa na kuvutia kinoma
 
Back
Top Bottom