Pole sana kaka,watu wengi wanasumbuka na maumivu,ya namnambali mbali,hilo kwako pia ni umivu,ulilo umizwa na mama yako,kusamehe na kusahau ni jambo muhimu zaidi,kwani litakusaidia kukuondolea hayo maumivu uliyo nayo kaka yangu,usipo samehe utabaki katika hiyo hali ,ni ngumu lakini Muombe Mungu...