Kifimbo cha Nyerere kapewa mbowe?

Kifimbo cha Nyerere kapewa mbowe?

Mambo mengine unapaswa uulazimishe ubongo wako kufikiria hata kama ni mzito. Si utuletee habari zako za vilabu vya mbege hapa.
 
JAMA KUNA TETESI ZINASEMA KUWA FREEMAN AIKAELI MBOWE NI MTOTO WA JULIAS KAMBARAGE NYERERE, hawa wanaoeneza hili wanadai kuwa enzi nyerere akidai uhuru alikua best friend wa mume wa mama yake mbowe hvy mzee huyo alikuwa anamwamini sn nyerere hvy wkt mwingine alipokua anaenda kwenye mishemishe zake nyerere alikuwa anaenda kwake na ndipo mama aikaeli alipopata mimba ya mzee jk na akamzaa mwana ambaye ni freeman mbowe, na wanaenda mbali na kusema nyerere alimpenda mbowe klk wanawe wote hvy akampa fimbo yk. MI SIJUI KM NI KWELI AU UZUSHI... ila

Mimi kmya
 
Kuna alie wahi kuhoji kwanini MBOWE alikuli ikulu au kama sio kukulia ilikuaje akawa hiyo sehemu enzi zile za MWALIMU??????tafadhali mwenye data kamili atujuze wengine tumechoshwa na tetesi mara oooohh ni mtoto wa kambarage sasa sijui imekaaje hiyo stori....mwenye kujua afunguke tafadhali.
 
na mimi ninalolijua ni hili,
nyerere miaka yake alikua hafikii ikulu anaposafiri nje ya dar,
alikuwa na tabia ya kulala kwa watu/marafiki/waumini wa dini mbalimbali,
hivyo alipofika kwa aikaeli akafanikiwa kumpata mbowe,
(nitafuatilia zaidi jina la mume wa aikaeli na ni kwa nini freeman akatumia jina la mama badala ya baba)

 
we Mamndenyi ndo umepotea njia

bora kama kitu hujui nyamaza,

Aikaeli ni jina la baba wa Freeman

na mama anaitwa Aishi
 
Itakuwa ya kichina tu hiyo
si ya jkn lool


kifimbo cha nyerere kipo butiama kwenye jumba la makumbusho ya nyerere. Kwenye hilo jumba kuna hata saa alizokuwa anavaa, suti aliyovaa siku anaenda hosptali kwa mara ya mwisho, vibaragashia na viatu.fimbo za nyerere zipo tatu. Ya kwanza ni ile aliyotumia wakati wa kutafuta uhuru ilikua kama bakola, nyingine ni ile aliyokuwa anatumia baada ya kuwa rais na nyingine ambayo ni ndogo kuliko zote alikuwa anaitumia anapoenda sehemu mbalimbali. Sasa sijui wewe unasema ipi. Mia
 
Back
Top Bottom