Mwenye uzoefu na AUDI A3 2012 2.0 perfomance yake nahitaji kuagiza pia ni ipi site nzuri ya kuagiza gari hapa bongo ambao hawana ubabaishaji.
AUDI A3 1.8 na 2.0 zipo vizuri au miyeyusho
Pikpiki yang nkiwasha inaonyesha alama nyekundu picha yake hapo chini hii alama kila ninapoiwasha hali ambayo mwanzo haikuwepo naombeni msaada wa kujua kama kuna kitu kimeharibika ama service ya aina gan inahitajika hapa
Alama ni hyo nyekundu kushoto
Sijui kama ni wewe japo sikumbuki vizuri kuna jamaa alikuwa kabeba bag akaniomba nauli kapungukiwa nkampa buku tuliomba chenji kwa muuza machungwa na alinikuta naongea na simu
Sehem ya kwanza
:
[emoji117]Kabla ya yote napenda kwanza kumshukuru MUNGU kwa kunifanya niwe salama mpaka sasa,pia nina imani nyie pia mpo salama vilevile na tuendelee kumwomba MUNGU asimame mbele yetu siku zote za maisha yetu.
Leo nimekuja kushare nanyi elimu kidogo inayo husu "humani...
Habari zenu wana JF , samahani sana kwa usumbufu kama vile tujuavyo misemo ya wahenga kua mficha uchi azai.
Picha znajionesha tatzo linalonikabili ni hili hapo kwenye picha
Breaking news: kunataarifa kutoka mkoani Simiyu zinadai Mgodi wa madini wa Gasuma umetitia na ndani kulikuwa na watu wakiendelea na uchimbaji hivyo kama una ndugu yako fanya kujua hali yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza R.I.P regend miaka 66
Albums 58
Single 696
Ukiwa tajiri no 2 Africa kwa wasanii
NERIA, TODI na MIMI NI MIMI ukiwa na Malkia Ladjaydee pembeni bila kusahau ile movie pendwa ya NERIA na JIT Aisee mpaka leo nakupa salute.
Fanyeni kam unatupia wanasemaga challange yako[emoji28][emoji28]...
Kabla hujaanza kumchunga mwanamke, jiulize kipindi yupo kwao aliwezaje kuonana na wewe na bila ya wazazi wake kujua!?
Aliwezaje kutumia muda wa kuonana na wewe na kufanya yenu na aliwezaje kufanya alichoagizwa kwao kwa muda mwafaka?
Kama umepata jibu baki nalo
Mwanamke hachungwi kama mbuz au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.