Ijue human cloning

Ijue human cloning

Amosy09

Member
Joined
May 30, 2018
Posts
34
Reaction score
177
Sehem ya kwanza
:
Kabla ya yote napenda kwanza kumshukuru MUNGU kwa kunifanya niwe salama mpaka sasa,pia nina imani nyie pia mpo salama vilevile na tuendelee kumwomba MUNGU asimame mbele yetu siku zote za maisha yetu.

Leo nimekuja kushare nanyi elimu kidogo inayo husu "humani cloning",na nina amini wengi wenu ni wageni wa hii kitu..katika makala hii tata naamini wapo ambao wata amini hiki ninachoenda kukisema na wapo ambao hawata amini.

neno "CLONING" lina maanisha ni kwamba kile kitendo cha kutengeneza kiumbe kipya kupitia materio ya kiumbe kingine ili kutafuta ufanano sawa katika mahabara..clone ipo ya aina nyingi kama mimea na wanyama.. HUMAN CLONING; ni kitendo cha kuchukua cell,tishu na jenis(DNA) ya mtu fulani na kutengeneza mtu mwingine anae fanana na yule wa mwanzo kwa kila kitu kupitia mahabara..human clone ili anza miaka ya 1960..lakini badae umoja wa mataifa ulikataza kitendo hicho kibaya baada ya mwaka 1967 CIA kuaibishwa na bunge lamarekani kwa kufanya majaribio ya clone ya binadamu kwenye project ya mk-ultra..ndipo mataifa mengine yote yalipo acha.

lakini kuna vikundi kama illuminant/ freemasoni wao waliendelea kufanya kitendo hicho kwasiri ili kutimiza lengo lao lakuja kuitawala dunia katika new word order..ikawa wanafanya hivi,endapo akitokea mtu marufu mwenye ushawishi mkubwa dunia ambae anapingana nao basi ilikuwa ana uwawa na kuchukua cells na gene zake ili kutengeneza mtu mwingine(copy) anae fanana na yule walie muuwa na huyu mpya ataendelea kufanya yale aliye yafanya yule lakini akiwa chini ya mamlaka yao hao freemason,au mfano mtu wao muhimu akitaka kufa wana mfanyia clone ili aendelee kuishi.. katika hii ishu nikwamba wapo watu maarufu ikiwemo wanamuziki,wanasiasa na waigizaji ambao tuna wajua lakini sio halisi yani namaanisha walisha kufa kitambo lakini waka weka siri juu ya vifo vyao na kutengeneza copy ya mtu mwingine kama yeye ambae ana ishi mpaka sasa.. hii apa list ya watu marufu ambao walikufa lakini waka fanyiwa clone ili waendelee kuishi.........
FB_IMG_1567098544709.jpeg
 
Mtoa mada ZAKUAMBIWA CHANGANYA NA ZA
KWAKO!.
Unachokifanya ni kutufanya wa Afrika kuendelea kupewa 'low IQ score' kwa mada kama hizi.
Unapaswa kuelewa kuwa 'cloning' haiwezi 'ku-recover memory of the real dead' ila inaweza kuifluence maumbile na tabia za kiumbe anaetengenezwa.
Kimsingi 'mental death' ndio inayotafsiri 'natural death' na kwa mantiki hiyo mtu akifa kifo cha asili hauwezi ku-restore utashi,hisia ama kumbukumbu zake halisi "a clone cant act like a programmed creature,to hold emotional records".
Kwa mfano,Emminem unayetaka kuanza kutudanganya hapa hata leo bado anaweza kuelezea juu ya maisha yake ya mahusiano na Maria kelly(historically an' emotionally).Hilo tu linaweza ku-prove kuwa the guy has never faced 'mental death'.
USHAURI WA BURE: tumia muda wako vizuri kutafiti BIOLOGICAL MEANING OF DEATH!.
 
Hivi hata kama una elimu ya kuungaunga ama hata kama wewe ni mhaya mkuu, maabara unawezaje kuiita mahabara tena kwa kurudiarudia?

Topic iko poa, lakini hilo neno moja tu limekushusha hadi levo ya ngumbalu.
 
Hiyo list iko wapi mkuu?
Na hiyo picha ya Eminem hapo ni kwamba naye alishafanyiwa hiyo cloning?
 
Aisee

Alafu Kuna uzi Kama huu ulishawahi wekwa hapa jukwaani..nilichoka na clone ya Michael Jackson na Gucci mane
 
Na list yenyewe ukashindwa kuifanyia cloning.
 
Sehem ya kwanza
:
Kabla ya yote napenda kwanza kumshukuru MUNGU kwa kunifanya niwe salama mpaka sasa,pia nina imani nyie pia mpo salama vilevile na tuendelee kumwomba MUNGU asimame mbele yetu siku zote za maisha yetu.

Leo nimekuja kushare nanyi elimu kidogo inayo husu "humani cloning",na nina amini wengi wenu ni wageni wa hii kitu..katika makala hii tata naamini wapo ambao wata amini hiki ninachoenda kukisema na wapo ambao hawata amini.

neno "CLONING" lina maanisha ni kwamba kile kitendo cha kutengeneza kiumbe kipya kupitia materio ya kiumbe kingine ili kutafuta ufanano sawa katika mahabara..clone ipo ya aina nyingi kama mimea na wanyama.. HUMAN CLONING; ni kitendo cha kuchukua cell,tishu na jenis(DNA) ya mtu fulani na kutengeneza mtu mwingine anae fanana na yule wa mwanzo kwa kila kitu kupitia mahabara..human clone ili anza miaka ya 1960..lakini badae umoja wa mataifa ulikataza kitendo hicho kibaya baada ya mwaka 1967 CIA kuaibishwa na bunge lamarekani kwa kufanya majaribio ya clone ya binadamu kwenye project ya mk-ultra..ndipo mataifa mengine yote yalipo acha.

lakini kuna vikundi kama illuminant/ freemasoni wao waliendelea kufanya kitendo hicho kwasiri ili kutimiza lengo lao lakuja kuitawala dunia katika new word order..ikawa wanafanya hivi,endapo akitokea mtu marufu mwenye ushawishi mkubwa dunia ambae anapingana nao basi ilikuwa ana uwawa na kuchukua cells na gene zake ili kutengeneza mtu mwingine(copy) anae fanana na yule walie muuwa na huyu mpya ataendelea kufanya yale aliye yafanya yule lakini akiwa chini ya mamlaka yao hao freemason,au mfano mtu wao muhimu akitaka kufa wana mfanyia clone ili aendelee kuishi.. katika hii ishu nikwamba wapo watu maarufu ikiwemo wanamuziki,wanasiasa na waigizaji ambao tuna wajua lakini sio halisi yani namaanisha walisha kufa kitambo lakini waka weka siri juu ya vifo vyao na kutengeneza copy ya mtu mwingine kama yeye ambae ana ishi mpaka sasa.. hii apa list ya watu marufu ambao walikufa lakini waka fanyiwa clone ili waendelee kuishi.........View attachment 1192978
Naona ume copy & ku paste toka fb kwa mjinga mmoja anayejiita Greater thinker Tanzania.
 
Sehemu ya pili Mkuu**haya mambo yapo
Sehem ya kwanza
:
Kabla ya yote napenda kwanza kumshukuru MUNGU kwa kunifanya niwe salama mpaka sasa,pia nina imani nyie pia mpo salama vilevile na tuendelee kumwomba MUNGU asimame mbele yetu siku zote za maisha yetu.

Leo nimekuja kushare nanyi elimu kidogo inayo husu "humani cloning",na nina amini wengi wenu ni wageni wa hii kitu..katika makala hii tata naamini wapo ambao wata amini hiki ninachoenda kukisema na wapo ambao hawata amini.

neno "CLONING" lina maanisha ni kwamba kile kitendo cha kutengeneza kiumbe kipya kupitia materio ya kiumbe kingine ili kutafuta ufanano sawa katika mahabara..clone ipo ya aina nyingi kama mimea na wanyama.. HUMAN CLONING; ni kitendo cha kuchukua cell,tishu na jenis(DNA) ya mtu fulani na kutengeneza mtu mwingine anae fanana na yule wa mwanzo kwa kila kitu kupitia mahabara..human clone ili anza miaka ya 1960..lakini badae umoja wa mataifa ulikataza kitendo hicho kibaya baada ya mwaka 1967 CIA kuaibishwa na bunge lamarekani kwa kufanya majaribio ya clone ya binadamu kwenye project ya mk-ultra..ndipo mataifa mengine yote yalipo acha.

lakini kuna vikundi kama illuminant/ freemasoni wao waliendelea kufanya kitendo hicho kwasiri ili kutimiza lengo lao lakuja kuitawala dunia katika new word order..ikawa wanafanya hivi,endapo akitokea mtu marufu mwenye ushawishi mkubwa dunia ambae anapingana nao basi ilikuwa ana uwawa na kuchukua cells na gene zake ili kutengeneza mtu mwingine(copy) anae fanana na yule walie muuwa na huyu mpya ataendelea kufanya yale aliye yafanya yule lakini akiwa chini ya mamlaka yao hao freemason,au mfano mtu wao muhimu akitaka kufa wana mfanyia clone ili aendelee kuishi.. katika hii ishu nikwamba wapo watu maarufu ikiwemo wanamuziki,wanasiasa na waigizaji ambao tuna wajua lakini sio halisi yani namaanisha walisha kufa kitambo lakini waka weka siri juu ya vifo vyao na kutengeneza copy ya mtu mwingine kama yeye ambae ana ishi mpaka sasa.. hii apa list ya watu marufu ambao walikufa lakini waka fanyiwa clone ili waendelee kuishi.........View attachment 1192978
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom