Mgodi umetitia gasuma mkoani Simiyu

Mgodi umetitia gasuma mkoani Simiyu

Amosy09

Member
Joined
May 30, 2018
Posts
34
Reaction score
177
Breaking news: kunataarifa kutoka mkoani Simiyu zinadai Mgodi wa madini wa Gasuma umetitia na ndani kulikuwa na watu wakiendelea na uchimbaji hivyo kama una ndugu yako fanya kujua hali yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
God forbid

Sent from my Iphone using Tapatalk
 
Daah! Mungu Awasaidie
Radio Mbao Zinadai Wamenasa watu 7.
 
Tuombe vyombo vya uokozi viwahi tukio haraka kunusuru wahanga.
 
Back
Top Bottom