Recent content by Amosi sote

  1. A

    Samuel Sitta aunda Kamati ya maridhiano ya kuwasikiliza waliopiga kura za HAPANA

    Hivi ndivyo nimeamini elimu ya tanzania ni duni kwani hata waliosoma na kujikuta ni maprofesa wamezidiwa uwezo wa ufahamu na watu wa form 2 tabu kweli kweli
  2. A

    Captain Komba anafikiri kwa kutumia nini?

    hawezi kuelewa mambo kwani yeye ni marufu wa koteti yani uimbaji
  3. A

    Pendekezo la Mdahalo wa Katiba Mpya

    kwa hilo naunga mkono mkuu.
  4. A

    Kimewaka bunge la Katiba

    kessy.big up tuko pamoja
  5. A

    Siri ya Kikao cha Diallo na Deus Mallya chavuja movie ya Kifo cha Chacha Wangwe

    Hivi hizo hela zao wanashindwa kuwasaidia masikini na wahitaji wengine?waache waendele na ujinga wao na zitawanyonga wote maana laana ijuu yao watoaji na wapokea mapato ya aibu.songa mbele chadema
  6. A

    Nimemsikiliza Ridhiwan, Bado

    anatoka ukanda wa wavaa pete za mahaba
  7. A

    Serikali yatangaza kupunguza bei ya Umeme, kutoka senti 40 mpaka senti 8 kwa unit!

    hawa ccm wanatamka kama vile hawana meno mdomoni.boko haram
  8. A

    Mwigulu amchana chana Lissu Hadharani

    siwezi kupoteza muda kujadili kinywa cha hovyo na ulimi wa hovyo wa mchemba.
  9. A

    Kinana kugombea ubunge Arusha mjini

    Anataka kuwa karibu na msitu wa dentist
  10. A

    Sugu amuumbua Waziri Magufuli

    kutoa matusi mazito kama hayo si utamaduni unaotufa watanzania
Back
Top Bottom