Hivi ndivyo nimeamini elimu ya tanzania ni duni kwani hata waliosoma na kujikuta ni maprofesa wamezidiwa uwezo wa ufahamu na watu wa form 2 tabu kweli kweli
Hivi hizo hela zao wanashindwa kuwasaidia masikini na wahitaji wengine?waache waendele na ujinga wao na zitawanyonga wote maana laana ijuu yao watoaji na wapokea mapato ya aibu.songa mbele chadema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.