Kinana kugombea ubunge Arusha mjini

Kinana kugombea ubunge Arusha mjini

Wana JF taarifa zikizopo ni kuwa katibu mkuu wa CCM bwana Kinana atagombea ubunge katika jimbo la Lema mwaka 2015,hivyo wagombea wote na Lema mjiandae kisaikolojia,linakuja jembe

Du CCM bwana mnapima upepo au nini? Lema anawatisha sanae! Hamuoni vioja km hivi vinazidi kuonesha kwamba mnamuogopa? Juzi chaguzi ndogo kawapiga chini kata zote! Mwombeni Mkapa kabisa labda...
Kinana akishindwa ataficha wapi uso wake? Hivi kati ya kinana na Lowasa nani ni Muarusha zaidi na anafanana na waarusha kitamaduni na kiasili? Nadahani jibu ni Lowasa. Sasa km Lowasa alishindwa kuwaconvince wana Arusha (Arumeru kumpa kura mkwe wake na akaangukia pua iweje Kinana ambaye hana mashikamano yeyote na watu wa arusha?
 
Ccm kokote akikaa yeyoye hata jiwe linapita uchawi upo kwenye lile daftari.....! likirekebishwa uchawi kwisha
 
Wana JF taarifa zikizopo ni kuwa katibu mkuu wa CCM bwana Kinana atagombea ubunge katika jimbo la Lema mwaka 2015,hivyo wagombea wote na Lema mjiandae kisaikolojia,linakuja jembe
Haha..alipona kuaibika enzi ya Buriani,,,,,sasa anataka rudi..Kwanza atabidi awathibitishie watanzania kuw akeshakuwa raia....na ana sifa za kugombea, halfu akajibu hoja na kuahidi kurudhisha tembo wetu....etc...ndipo akasikie NGURUMO ZA KING LEMA.
 
kwani kuna arusha ngapi ? Moja haina mbunge ina mfalme lema kama unaweza kumuondoa mfalme haya jangili unakaribishwa
 
Mtaamuua mzee wa watu. mwacheni amalizie muda wake vizuri.
 
Tunamkaribisha ili kazi yetu yakukomboa nchi kutoka kwa intarahamwe hiwe rahisi, arusha wala ccm kama mnasoma alama za nyakati msisimamishe mgombea, wazee wabuku saba lumumba dau limepanda nasikia ndio maana kelele zimekua nyingi mitandaoni.. Kumbukeni kushindana na chadema nikushindana nampango wamungu
 
Mwambie ambane Mwigulu ili ule wizi wa mabilioni palf BOT ufanyike kwa kasi, ili mwakani mupate fedha za kuhonga wapiga kura pamoja na kanga, tshirt na hata kapelo! Wana Arusha jiandaeni Neema inakuja mwakani !
 
lema mwakani atarudia ile kazi yake ya kuiba magari
 
Kwa nini msimtume jk au lowasa? ARUSHA wanajitambua! Sio kama ndugu zangu wa kusini...

kwanza kinana anatakiwa arudishe washing machine iliyotolewa msaada MT. meru hospital akaifanya ya kwake, pili aache ujangili na alipie meli zake kodi na mwisho aombe uraiya wa tz then aje arusha apambane na king lema
 
arudishe zile mashine za kufulia mashuka za hospitali ya mt meru ndio tumfikirie
 
Vizuri kuja il I aone jito lililomkuta mwenzake Dr Baltida awamu iliyopita lakii pia kama yeye no jiwe kama walivyotangaza watu wa Arusha aje asiogope
 
Back
Top Bottom