Captain Komba anafikiri kwa kutumia nini?

Captain Komba anafikiri kwa kutumia nini?

ukiiona ile video alivyokuwa anamtukana Warioba utagundua huyu komba ni taahira wa mwisho..
 
Muda mchache ulopita, nimemsikia captain Komba akichangia katika mjadala unaoendelea wa BMK, alichokifanya ni kumshambulia mwenyekiti wa iliyokuwa kamati ya tume ya mabadiliko ya Katiba, mbaya zaidi anai quote hukumu iliyotolewa juzi na mahakama kuu ya DSM, eti mahakama imesema wanachokifanya ni halali.

Binafsi napata taabu kuhusu uelewa na interest za baadhi ya watu wanaotuandikia Katiba pendekezwa.
Karibu tujadili.

hata mimi nimemsikia kwa kweli uwezo wa Mh Komba ni mdogo sana, hakuna kitu ambacho amechangia zaidi ya kumshambulia mzee warioba si zani sana kama ni busara hata kama mzee warioba anafanya makosa. katika mchango wake wote anamsema wa warioba aise ndugu zangu wa jimbo la Nyasa wanakazi sana na Mbunge wao
 
muda mchache ulopita, nimemsikia captain komba akichangia katika mjadala unaoendelea wa bmk, alichokifanya ni kumshambulia mwenyekiti wa iliyokuwa kamati ya tume ya mabadiliko ya katiba, mbaya zaidi anai quote hukumu iliyotolewa juzi na mahakama kuu ya dsm, eti mahakama imesema wanachokifanya ni halali.

Binafsi napata taabu kuhusu uelewa na interest za baadhi ya watu wanaotuandikia katiba pendekezwa.
Karibu tujadili.

makalio
 
Hawana uelewa wa mambo ndiomaana hawataki wabunge angalau wafikie form 4 kazi yao ufisadi tu!
 
Muda mchache ulopita, nimemsikia captain Komba akichangia katika mjadala unaoendelea wa BMK, alichokifanya ni kumshambulia mwenyekiti wa iliyokuwa kamati ya tume ya mabadiliko ya Katiba, mbaya zaidi anai quote hukumu iliyotolewa juzi na mahakama kuu ya DSM, eti mahakama imesema wanachokifanya ni halali.

Binafsi napata taabu kuhusu uelewa na interest za baadhi ya watu wanaotuandikia Katiba pendekezwa.
Karibu tujadili.

Wamesema kuingia mle kiwango cha chini ni kujua kuandika na kusoma tu... ALIYOYASEMA NDO MATOKEA YA HILO... HALAFU WA AINA ILE KWA KUJISIFIA NA DARASA LA NANE.....UNAWEZA UKADHANI HAKUKUWA NA VILAZA KWENYE DARASA LA NANE....

mkishaamua kukifanya kiingereza kama ndo kipimo cha kuelewa nayo ni shida
 
Huyo mzee anawatukanisha waliomchagua kama komba Ndio alionekana ana busara mpaka wakamchagua kuwawakilisha vipi kuhusu waliobaki?
 
Tusimlaumu huyo kosa ni la waliomchagua Kama anaweza kudate name vitoto umri wa kina Lulu umri sawa na wajukuu zake unategemea kichwa kitakuwa kinawaza nini? Kwa jinsi alivyo na mwili mkubwa Kama angeamua kujikalia kimya wala tusingejua kama kichwa chake kina akili fupi kiasi kile mzee wa madangulo
 
Huyo wa kumpima kichwa sio ndiye aliyesema ataingia msituni huyo, CCM ina watu alafu hukawii kusikia anatangaza nia ya kugombea uraisi
 
Mimi nilimsamehe pale pale. Maana alichosema Mh Warioba na alichosema ni vitu tofauti. Baada ya kumaliza kazi wanayoifanya huko Bunge maalumu nikutuletea mtaani wananchi tupige kura na huko utakutana karibu na kila mtu sasa tatio liko wapi?
 
Jamani watu wengine kama komba ni wa kumhurumia tu. Hana namna ya kujiweka sawa na binadamu wa kawaida.
 
Anafikiria mustakbari wa tumbo lake zaidi kuliko Taifa.
 
Back
Top Bottom