Ndg. wanajamii kutokana na hali ya mkanganyiko wa sasa wa mchakato wa Katiba, napendekeza kuwe na mdahalo ambao wazungumzaji wakuu wawe:
1. Jaji Joseph Warioba
2. Prof. Kabudi
3. Mh. Samweli Sita
4. Mh. Andrew Chenge
Mdahalo huu utangazwe na vyombo vyote vya habari binafsi na vya serikali.
Washiriki wawe wahariri vyombo vya habari ili kupunguza zomea zomea na kutupa fursa wananchi kuchambua mbivu na mbichi.
Nawakilisha.
Raia wa kawaida nisiye na upande.
1. Jaji Joseph Warioba
2. Prof. Kabudi
3. Mh. Samweli Sita
4. Mh. Andrew Chenge
Mdahalo huu utangazwe na vyombo vyote vya habari binafsi na vya serikali.
Washiriki wawe wahariri vyombo vya habari ili kupunguza zomea zomea na kutupa fursa wananchi kuchambua mbivu na mbichi.
Nawakilisha.
Raia wa kawaida nisiye na upande.