Ujumbe umefika.... waliopo bungeni hawataki kusikia mawazo tofauti na yao.Hii inaonesha kuwa wajumbe wengi wamepanga nini cha kuongea, wakisikia kitu tofauti basi nguvu kubwa inatumika kumnyamazisha mjumbe alietoa hoja. Kesi ameomba radhi kwa kutumia kauli zenye kuudhi ilhali wabunge wengi wamesikika wakimuita chizi...hana akili....akapimwe akili ....kana kwamba lugha hizo zina lahaja ya kufurahisha.This is double standard.Dovutwa ameongea mambo mengi ya kuwachafua ukawa...kuna mbunge kaomba muongozo ikiwa ni halali kuzungumza vitu ambavyo havihusiani na katiba.... sitta akambeza na akasema ilikuwa ni muhimu kusikia vitu hivyo...