Nimemsikiliza Ridhiwan, Bado

Nimemsikiliza Ridhiwan, Bado

Mnafikiri kuna chamaana atakachoongea, Kwani Komba alishawahi ongea kitu cha maana Bungeni kwa manufaa ya Taifa?.

Komba ni Mbunge Kilaza kuliko Mbunge yeyote ktk bara la Africa ,sasa yupo busy akijiandaa kwenda Msituni KUNYA , kwa kisingizio eti anaenda Kupigania Serikali 2 ,Komba cheo jeshini alipewa zawadi tu,zile mbinu za Kijeshi haswaa hazifahamu Hana ujuzi wa kivita ! Huko mistuni sijui ataishi vipi !
 
Nimepita kariakoo leo, mtaa wa uhuru kuna libwawa likuuuuubwa la maji yenye vinyesi, makamasi, makohozi na kila aina ya uchafu. Nikasogea mbele pale jirani na Benjamin Mkapa Sekondari na yenyewe ni madimbwi na barabara mbovu kupita kawaida. Nikasogea hadi Akiba, ni hivyo hivyo. Dah! Serikali ya CCM imeamua kukomesha watanzania
Kama wanavyo komeshwa watu wa lindi na Mtwara kwa Barabara chafu isiyopitika kirahisi.......kweli karne hii lindi unachukua siku mbili kufika huko...........Nihamishieni kwetu Musoma Bhana.......huku wabaki wenyewe waliozoea........
 
Sijaona tofauti ya mleta mada na hicho anachokituhumu...naye hana uwezo wa kujenga hoja zaidi kujikanyaga tu
 
Anashindwa kuwa tetea watu kama hawa wabebwa kwenye toroli kwenda zahanati.! Yeye ana ng'ang'ana na wapinzani tu!
 

Attachments

  • 1400002602980.jpg
    1400002602980.jpg
    27.2 KB · Views: 203
Nimemsikiliza Ridhiwan Kiukweli bado anashindwa kujenga hoja anajikita kwenye kejili kwa wapizani,
Eti angechangia bila kutaja upizani asingesikika
Unataja mataifa yanayo onyesha vifa vyao vya jeshi,
Sisi tunahoji mabilioni yanayotumika kufanya maonyesho wakati jimboni wanafunzi wanakaa chini,
Wakati jimboni hakuna kituo cha Afya,
Tunajiuliza fedha hizo zote zingetumika katika kuzuia maambukizi ya Dengue
10173634_650551901695474_7079847669657270732_n.jpg

Son like fadher.
 
Kijana kashuka nondo za ukweli mnaumia shauri ya wivu tu na donge big up mbinge wetu tunahitaji matawi zaidi jimboni kwako
 
Nimepita kariakoo leo, mtaa wa uhuru kuna libwawa likuuuuubwa la maji yenye vinyesi, makamasi, makohozi na kila aina ya uchafu. Nikasogea mbele pale jirani na Benjamin Mkapa Sekondari na yenyewe ni madimbwi na barabara mbovu kupita kawaida. Nikasogea hadi Akiba, ni hivyo hivyo. Dah! Serikali ya CCM imeamua kukomesha watanzania
magufuri oyee na za pembezoni mwa jiji zinapukutika kama biscuit
 
Siku hizi watu wengi hawavai pete za ndoa... Wanavaa za maruhani!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom