Habari za muda huu wakuu ninaomba msaada wa kutaka kujua sheria inasemaje endapo shahidi atataka ,kudhamiria kuharibu au kukwepa ushahidi wa kesi Fulani.
Kama nikimpeleka mtu mahakamani na nikamtaja mtu Fulani ni shahidi wa hiZo tuhuma na akakwepa kutoa ushahid je kuna sheria inayoadhibu juu...
Ni kitu gani dereva anatakiwa kufanya cha haraka endapo chombo chako cha usafiri utagongwa na gari jingine na sehemu ambayo huwezi kupata msaada wa traffic kupima ajali? Ni kitu gani natakiwa nifanye ili dereva asikimbie?
Sent using Jamii Forums mobile app
Za chini chini ya carpet ni kwamba ma presenter wafuatao soon wanakuwa ndani ya Wasafi FM na Wasafi TV
1. Meena Ally
2. Dina Marious
3. Dullah Ambua
4. Perfect Crispin
5. Barbara Hassani
Hivi watu wenye wadhifa wakienda huko inakuwaje treatment yao kuna mahabusu ya V.I.p mfano kina malinzi hawa au wote selo moja na wakihukumiwa wafungwa wana watreat vipi wawapo gerezani ukiwa kama mtu maarufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hao mashoga wanaolawitiwa huko jela hawapewi adhabu na maafande wakikamatwa na wafungwa wenzao wanawachukuliaje na hawa mashoga wakihukumiwa kule hali inakuwaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu uraiani wanakuwa na damu za jela mfano anaweza kutoka jela labda ukonga akakafanya tukio akarudi tena ndani ya muda mfupi wafungwa wa namna hii hali huwa inakuaje wanaporejea na kuna watu kweli wanafanya uhalifu kwa makusudi wakakae jela hawa watu wanakuwa wanapapendea nini huko jela...
Haahah hayo mambo utakuwa umeanza ukubwan yaan kchepuka tu unajistukia itakuwa we ni baba mwinji watu wanachepuka na wakrudi macho makavu show tena
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.