Recent content by amojokatani

  1. A

    Updates Ofisi ya Mwanasheria Mkuu

    hata mimi walinipigia simu na nilisharipoti, wameniambia nisubiri... Juzi nilianda kuulizia progress wakasema wanafanya mchakato wa malipo ya kujikimu, kuanzia mwezi ujao watatuita kuanza kaz
  2. A

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    serikali tatu inatufaa kwa sasa ili haki itendeke sawa
  3. A

    Zanzibar ni nchi, ila Tanganyika ni sehemu ya jamhuri ya muungano, Tanzania ipo wapi?

    Nakubaliana nawe 100% maana hawa jamaa(zanzibar) wanatunyonya tu unakuta mbunge wao anawakilisha watu 300 analipwa posho sawa na mbunge wa bara ambaye ana watu 500,000. Afo chanzo cha posho hizo ni TZ bara.. Hata ukiangalia nchi ya population ya watu ni zaid ya mara 35 ya ile ya bara afu wanadai...
  4. A

    Tpc

    mi nilipigiwa simu kwaajili ya kazi tangu 12 december, wakasema watatutumia barua lakini mpaka leo barua haijafika, mi nipo mwanza... Mwenye taarifa zaidi.....
  5. A

    Posta (TPC) wameanza kuita kwaajili ya oral 14 Nov

    Hawa jamaa wa TPC wameanza kuita kwa zile nafasi za postal controllers, mi nilipigiwa simu IJUMAA na kutarifiwa oral interview itakuwa 14 Novemba
  6. A

    Tume ya utumishi-hongereni mmekuwa wasikivu tunashukuru (wasailiwa)

    hakuna jipya, wamezengua tu hakuna chochote kwenye web yao, longolongo tu ...!!
  7. A

    Hivi ndivyo serikali ilivyojiandaa kupata watu wenye vigezo kwa ajili ya kazi ya muda ya sensa.

    kwa staili hii tutafika kweli?? Inatia ushungu sana specifically kwa sisi walala hoi, kuna haja ya kumuweka wazi huyo aliyefanya hivyo, ili tumjue mbaya wetu....!!
  8. A

    Msaada kwenye kutuma maombi kwa njia ya barua pepe

    Scan barua yenye SIGNATURE, afu iedit, then crop SIGNATURE pekee, then save, then unaweza ukawa unatumia hiyo SIGNATURE kwa any application letter kwa copy and paste sehemu ya signature kwenye barua yako. Unaweza ukaiconverting barua hiyo to pdf format, then ready to be used MI HUWA NAFANYA...
  9. A

    Window 7 is not genuine, Naomba msaada wa kuondoa hii message kwenye PC yangu

    hata mimi nimejaribu kutumia hiyo 7 Loader, imegoma. Lkn nimepata program fulan kwa jamaa hapa inaitwa REMOVE MAT, ndo imefanikisha kuondoa hiyo message ya "this copy is not genuine", sina ujuzi nayo sana lkn jamaa anadai inavuta PC Registry, afu baadaye PC inarudi in Normal. TAFADHARI YEYOTE...
  10. A

    nafasi za kazi wizara ya maliasili

    Thanx for the good info ....!!
  11. A

    TRA- Short list for aral interview

    Dah, hawa jamaa kwakweli ni balaa..!!, kufanya written Interview walikuwa wanaita majina, only shortlisted people. Kwa wale mamluki hawakupata nafasi ya kuingia. Na wenye GPA kuanzia 3.9 and above ndo waliokuwa shortlisted, kwaajili ya written interview. Ingawa kuna baadhi walikuwa na sifa kama...
  12. A

    Hatimaye Hamad Rashid, Shoka Hamis na wenzao wawili wafukuzwa CUF!

    Nimeipenda sana, ni jambo la kujifunza maana huyu Hamad alikuwa hana spidi gavana ya mdomo, muongea ovyo juu ya chama chake tena hadharani, badala ya kuongelea kwenye vikao vya chama
  13. A

    Nhif ??

    hata mimi niliattend hiyo interview sijapata majibu mpaka sasa, mwenye information atu update basi ...!!
  14. A

    Vp NHIF mbona kimya ?

    Jaman naomba mnijuze kwa yeyote mwenye taarifa, kuhusu zile tempo za NHIF, tulizofanyia Interview pale Kurasini - Ukumbi wa baraza la maaskofu, maana It's almost a month now tangu tufanye hiyo interview......!!
  15. A

    JamiiForums ni kiboko, imenipa kazi mwenzenu

    Hongera mkuu ....!!, chukua hiyo kaz kama pa kuanzia, kisha chakalika mpaka ufikie malengo yako ...
Back
Top Bottom