prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 190
Wakuu, jamani wanaposema wanataka utume maombi ya kazi kwa njia ya barua pepe, hivi unapoandika barua ya maombi (cover letter) ile sehemu ya kusign mm mwombaji unaacha au una iprint halafu unasign then unaiscan. Msaada kwa wale wenye uzoefu