Hivi ndivyo serikali ilivyojiandaa kupata watu wenye vigezo kwa ajili ya kazi ya muda ya sensa.

tan 90

Senior Member
Jul 29, 2012
182
36
jamani huu ni uhuni ulioje, . .
Ofisi za manispaa ya morogoro mjini ndiko watu walipochukua fomu za kazi ya muda ya sensa kama ilivyo,sasa tupo katka ofisi hzo kama eneo letu la field na sisi ndio tuliokusanya hzo fomu,cha kushangaza mkuu wa kazi prof (. . .) kaja anatuambia tujihesabu wote na tuorodheshe majina yetu,pia kama kuna yeyote mwenye ndugu ambye amechukua fomu,kila mtu aandike namba ya fomu ya huyo mtu,hiyo chance wamepewa wafanyakazi wote wa manispaa wadogo wadogo,sasa sijui kwa wakubwa wamepeanaje,kesho asubuh watabandika majina na ya yetu na watu wetu yakiwemo,jamani kwa staili hii tutafika kweli?,yani mambo waziwazi hata kujificha watoto wasione hakuna. .
 
Kwani tatizo nini???, amewatoza chochote?????, ama kweli masikini hasaidiki!!!, wewe umepata, halafu unapiga kelele, je ungekosa, ingekuwaje????, Mahali pote ni hivyo, wanatakiwa watu wengi wa sensa, idadi ya waliopo haitoshi, unapewa posho, halafu unapiga yowe, acha uone.
"UMEOMBA KAZI UKAPATA KAZI, USIONE KAZI KUFANYA KAZI, UKIONA KAZI KUFANYA KAZI, ACHA KAZI UONE KAZI"
 
Kwani tatizo nini???, amewatoza chochote?????, ama kweli masikini hasaidiki!!!, wewe umepata, halafu unapiga kelele, je ungekosa, ingekuwaje????, Mahali pote ni hivyo, wanatakiwa watu wengi wa sensa, idadi ya waliopo haitoshi, unapewa posho, halafu unapiga yowe, acha uone.
"UMEOMBA KAZI UKAPATA KAZI, USIONE KAZI KUFANYA KAZI, UKIONA KAZI KUFANYA KAZI, ACHA KAZI UONE KAZI"

sio kwamba napiga yowe ila ninachojaribu kuonesha hapa ni jinsi serikali inavyodai kujipanga ili kukwepa makarani wasio na vigezo watakao haribu kazi yao,sasa najiuliza kwa mwendo huu tutafikaaaaa?
 
Kweli ishu ya MAKARANI SENSA INAKERA!! kama walijua wafanyakazi wapo kwa nini walitangaza kazi wangewaita tu watoto wao wafanye kama tulivyozoe RUANGWA-LINDI
 
jamani huu ni uhuni ulioje, . .
Ofisi za manispaa ya morogoro mjini ndiko watu walipochukua fomu za kazi ya muda ya sensa kama ilivyo,sasa tupo katka ofisi hzo kama eneo letu la field na sisi ndio tuliokusanya hzo fomu,cha kushangaza mkuu wa kazi prof (. . .) kaja anatuambia tujihesabu wote na tuorodheshe majina yetu,pia kama kuna yeyote mwenye ndugu ambye amechukua fomu,kila mtu aandike namba ya fomu ya huyo mtu,hiyo chance wamepewa wafanyakazi wote wa manispaa wadogo wadogo,sasa sijui kwa wakubwa wamepeanaje,kesho asubuh watabandika majina na ya yetu na watu wetu yakiwemo,jamani kwa staili hii tutafika kweli?,yani mambo waziwazi hata kujificha watoto wasione hakuna. .


kwa staili hii tutafika kweli?? Inatia ushungu sana specifically kwa sisi walala hoi, kuna haja ya kumuweka wazi huyo aliyefanya hivyo, ili tumjue mbaya wetu....!!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom