Recent content by Ammy Emmy

  1. A

    Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Aseee preta umemsaidia sana hii dawa ilinitibu mim nilikua natisha.af sas ukitumia zikiisha ndo kwa heri hazirud tenaaa...ila mim nilimeza na vidonge nilivyopewa aghakan nimevisahau..yani niliteseka toka la saba hadi form six ikanilazimu kwenda aghakan kuonana na mtaalam wa ngoz kwa kweli saiv...
  2. A

    Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

    Hapo kwenye kyumbo ssa loo
  3. A

    Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

    Asiekubali wachaga tuko juu lazma ana mtindio wa ubongoo..ona vitu af sasa hamjaona kulivyo na majumba mazuri
  4. A

    Dhambi 8 za wanaume waliooa!!

    Mmesahau kosa lingine la wanaume kunuka miguu na mdomo
  5. A

    Mwenzenu nimevurugwa sijielewi

    wew ni mbulula ulitaka watiane mbele yako ndo uamin..?hiv kumbe kuna wanawake matambacha hivi?sas ushauri wa nin si uachane na huyo malaya? hapo ni mbele yako kashindwa kujizuia usingekuepo si angeomba waende gesti?
  6. A

    Sababu ya wanawake kuzuiwa kuendesha magari Saud Arabia

    duh...hii din kila siku napigwa nan sababu yake..kiufupi waislamu wengi waishukuru u.n na america kwa kutetea haki zao
  7. A

    nasikitika, lakini sikuwa na jinsi

    vipi rafki kua tu muwazii huyo alshabaab ana mvutooo?ni mzuri sanaa?
  8. A

    Mikoa Tajiri Tanzania kwa mujibu wa BOT

    we mwehu kweli unaishi dunia hii kweli?we hujui dar imeongoza kwa sababu ya wachaga?kila penye mchaga ndo penye maendeleo...kwa hyo ww cheza na wachaga utalala njaa mkuu..utadeki bahari kwa ulimii
  9. A

    Mambo ambayo hayapaswi kufanywa na WANAWAKE hadharani....!

    hivi mnajadili upuuzi gani wangese nyie?wote wanaompa sapoti mleta mada wanapruv ufinyu wao wa akili....
  10. A

    Walimu wa vyuo vikuu wapunguziwe mamlaka kwa wanafunzi wanao wafundisha

    we kinachokushinda kutaja mzumbe ni nini? nyie wanafunzi ndo mlikua vihereehere. na habari yako umeipindisha kuficha ukweli..tatizo lenu weng LLB mlikua mnakesha na kushinda bar halafu mnalazimisha kupata A nani aliwaambia mzumbe ni casino?
  11. A

    Tuisome hii topic pia anataka lakini anaogopa nimfanyeje.

    huyu mpuuzi tu hana lolote af hapo utakuta kibamia lakin anajisifu
  12. A

    Nimeanza kujifunza uchawi!!!

    mbona mambo mengii ya kichawi yanafanana sana na yanahusiana moja kwa moja na dini ileee ya kujitoa mhanga na ugaidi?
  13. A

    Nikikutana mh jk nitasema haya.

    nimeipenda sana hii mi ningempiga na viatu
  14. A

    TAFITI: Watu wafupi wana wivu, gubu na ni wagomvi tofauti na watu warefu, lakini...

    Mleta mada ana mtindio wa ubongo...inakuaje mtu unadhalilisha wanawake kisa maumbile yao?huna point ya msingi....mbona hujazungumzia wanaume wafupi?
Back
Top Bottom