Aseee preta umemsaidia sana hii dawa ilinitibu mim nilikua natisha.af sas ukitumia zikiisha ndo kwa heri hazirud tenaaa...ila mim nilimeza na vidonge nilivyopewa aghakan nimevisahau..yani niliteseka toka la saba hadi form six ikanilazimu kwenda aghakan kuonana na mtaalam wa ngoz kwa kweli saiv...
wew ni mbulula ulitaka watiane mbele yako ndo uamin..?hiv kumbe kuna wanawake matambacha hivi?sas ushauri wa nin si uachane na huyo malaya? hapo ni mbele yako kashindwa kujizuia usingekuepo si angeomba waende gesti?
we mwehu kweli unaishi dunia hii kweli?we hujui dar imeongoza kwa sababu ya wachaga?kila penye mchaga ndo penye maendeleo...kwa hyo ww cheza na wachaga utalala njaa mkuu..utadeki bahari kwa ulimii
we kinachokushinda kutaja mzumbe ni nini? nyie wanafunzi ndo mlikua vihereehere. na habari yako umeipindisha kuficha ukweli..tatizo lenu weng LLB mlikua mnakesha na kushinda bar halafu mnalazimisha kupata A nani aliwaambia mzumbe ni casino?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.