dada usijal tu ni kazi za nje cha kumshauri mwambie asiache kutumia kinga. wakati unampa hayo maelezo lazima muwe kwenye mood nzuri ili yeye achukulie utani huku ujumbe unafika sawa mamy. wanawake wengi tunajidanganya tupo wenyewe ni wachache wenye bahati hiyo wengi tupo watatu watano ila muhimu ni kujali afya yake kama umeshapewa nafasi ya mke.
kuna wengine wamebakiza masikio tu kwa sasa!Kusoma hujui hata picha huioni
Jana nilitoka na shemeji wenu out kucerebrate baada ya posa yake kupokelewa kwa wazazi wangu baada ya urafiki wa miezi miwili. Tukapanda zetu daladala. Ndani ya daladala
kulikuwa na viti viwili tu vitupu.
Mbele kwa dereva na hapo kwa
kondakta; mchumba wangu akaketi mbele na
msichana flani mzuri na slender kuliko mie bonge. Cha kushangaza nikaona shemeji yenu
anamuongelesha yule m-diva kila saa na kabla ya diva kushuka wakapeana namba za simu nikauchuna huku naumia moyoni. Kituo kilichofata tukashuka na kuanza kula bata.
Mara simu ya shem wenu ikabip mara kadhaa akawa anaichunia. Nilipoichungulia iliandika 'mrembo'. Baada ya muda akaamua kuipiga then akaniambia ni ofisini anahitajika kuna gharula. Fasta akasimama akanikiss, akanipa nauli yangu buku na kuniamuru nirudi nyumbani. Kuanzia siku hiyo namba ya 'mrembo' ikipigwa naambiwa ni ya sekretari wetu tunamwitaga hivyo kwa yuko too artificial ameniambia naitwa kazini. WanaMMU mwenzenu nimevurugwa sijui nifanyeje. Nisaidieni mwenzenu nimevurugwa.....uwiii
Jana nilitoka na shemeji wenu out kucerebrate baada ya posa yake kupokelewa kwa wazazi wangu baada ya urafiki wa miezi miwili. Tukapanda zetu daladala. Ndani ya daladala
kulikuwa na viti viwili tu vitupu.
Mbele kwa dereva na hapo kwa
kondakta; mchumba wangu akaketi mbele na
msichana flani mzuri na slender kuliko mie bonge. Cha kushangaza nikaona shemeji yenu
anamuongelesha yule m-diva kila saa na kabla ya diva kushuka wakapeana namba za simu nikauchuna huku naumia moyoni. Kituo kilichofata tukashuka na kuanza kula bata.
Mara simu ya shem wenu ikabip mara kadhaa akawa anaichunia. Nilipoichungulia iliandika 'mrembo'. Baada ya muda akaamua kuipiga then akaniambia ni ofisini anahitajika kuna gharula. Fasta akasimama akanikiss, akanipa nauli yangu buku na kuniamuru nirudi nyumbani. Kuanzia siku hiyo namba ya 'mrembo' ikipigwa naambiwa ni ya sekretari wetu tunamwitaga hivyo kwa yuko too artificial ameniambia naitwa kazini. WanaMMU mwenzenu nimevurugwa sijui nifanyeje. Nisaidieni mwenzenu nimevurugwa.....uwiii
Jana nilitoka na shemeji wenu out kucerebrate baada ya posa yake kupokelewa kwa wazazi wangu baada ya urafiki wa miezi miwili. Tukapanda zetu daladala. Ndani ya daladala
kulikuwa na viti viwili tu vitupu.
Mbele kwa dereva na hapo kwa
kondakta; mchumba wangu akaketi mbele na
msichana flani mzuri na slender kuliko mie bonge. Cha kushangaza nikaona shemeji yenu
anamuongelesha yule m-diva kila saa na kabla ya diva kushuka wakapeana namba za simu nikauchuna huku naumia moyoni. Kituo kilichofata tukashuka na kuanza kula bata.
Mara simu ya shem wenu ikabip mara kadhaa akawa anaichunia. Nilipoichungulia iliandika 'mrembo'. Baada ya muda akaamua kuipiga then akaniambia ni ofisini anahitajika kuna gharula. Fasta akasimama akanikiss, akanipa nauli yangu buku na kuniamuru nirudi nyumbani. Kuanzia siku hiyo namba ya 'mrembo' ikipigwa naambiwa ni ya sekretari wetu tunamwitaga hivyo kwa yuko too artificial ameniambia naitwa kazini. WanaMMU mwenzenu nimevurugwa sijui nifanyeje. Nisaidieni mwenzenu nimevurugwa.....uwiii
Jana nilitoka na shemeji wenu out kucerebrate baada ya posa yake kupokelewa kwa wazazi wangu baada ya urafiki wa miezi miwili. Tukapanda zetu daladala. Ndani ya daladala
Kuanzia siku hiyo namba ya 'mrembo' ikipigwa naambiwa ni ya sekretari wetu tunamwitaga hivyo kwa yuko too artificial ameniambia naitwa kazini. WanaMMU mwenzenu nimevurugwa sijui nifanyeje. Nisaidieni mwenzenu nimevurugwa.....uwiii
Jana nilitoka na shemeji wenu out kucerebrate baada ya posa yake kupokelewa kwa wazazi wangu baada ya urafiki wa miezi miwili. Tukapanda zetu daladala. Ndani ya daladala
kulikuwa na viti viwili tu vitupu.
Mbele kwa dereva na hapo kwa
kondakta; mchumba wangu akaketi mbele na
msichana flani mzuri na slender kuliko mie bonge. Cha kushangaza nikaona shemeji yenu
anamuongelesha yule m-diva kila saa na kabla ya diva kushuka wakapeana namba za simu nikauchuna huku naumia moyoni. Kituo kilichofata tukashuka na kuanza kula bata.
Mara simu ya shem wenu ikabip mara kadhaa akawa anaichunia. Nilipoichungulia iliandika 'mrembo'. Baada ya muda akaamua kuipiga then akaniambia ni ofisini anahitajika kuna gharula. Fasta akasimama akanikiss, akanipa nauli yangu buku na kuniamuru nirudi nyumbani. Kuanzia siku hiyo namba ya 'mrembo' ikipigwa naambiwa ni ya sekretari wetu tunamwitaga hivyo kwa yuko too artificial ameniambia naitwa kazini. WanaMMU mwenzenu nimevurugwa sijui nifanyeje. Nisaidieni mwenzenu nimevurugwa.....uwiii
Me memiss wewe! Sista moyo wako unasemaje? Kama bado umewasha taa za kijani kila la kheri,kama hazard act now before its too late ukaja omba ushauri kuhusu michango ya watu na zawadi za kitchen party
...umetunga story...unasema jana...mara tena kuanzia iku hiyo....????ivi kibongo bongo ni rahisi hivyo mtu upande nae dala dala atongoze mtu mwingine mbele yako...??? anabipiwa muda mfupi baadee ...anakupa nauli urudi nyumbani akautane na mwanamke aliye mtongoza mbele yako..........HAYA MABO YA KUANGALIA FILAMU ZA AKINA MAMA MUSHKA HIZI...
umenikumbusha kuna sikuu nlimwambia mr ukienda mech za ugenini usisahau kinga tukacheka sana,ila baadae aliniuliza kwa nn nlimwambia vile...wanaume hawa ukitaka kumfunga kamba kila siku utavurugwa..just free your soul&mind
Yaani majibu unayo kua jamaa hakufai atakupa stress tu ila bado unavumilia,ila mlikua fasta yan week mbili tu posa tayar jaman,hakuna hata kuchunguzana....sasa hiyo ni ndan ya week mbili kakufanyia hizo dharau mkifikisha mwaka hali yako itakua mbaya sana rafiki,bora ukimbie...pia usisahau matumizi ya ndom utakapokutana nae maana c wa kuaminika huyo.
Hizo ni dharau..nawe unamoyo umepga kmya hata kumchimba biti kidogo au ndo kubembeleza ndoa?
au nimeelewa vibaya hapo kwenye red? ilikuwa ni jana lakini tena kuanzia siku hiyo, so inamaana ni muda mrefu au...?Jana nilitoka na shemeji wenu out kucerebrate baada ya posa yake kupokelewa kwa wazazi wangu baada ya urafiki wa miezi miwili. Tukapanda zetu daladala. Ndani ya daladala
kulikuwa na viti viwili tu vitupu.
Mbele kwa dereva na hapo kwa
kondakta; mchumba wangu akaketi mbele na
msichana flani mzuri na slender kuliko mie bonge. Cha kushangaza nikaona shemeji yenu
anamuongelesha yule m-diva kila saa na kabla ya diva kushuka wakapeana namba za simu nikauchuna huku naumia moyoni. Kituo kilichofata tukashuka na kuanza kula bata.
Mara simu ya shem wenu ikabip mara kadhaa akawa anaichunia. Nilipoichungulia iliandika 'mrembo'. Baada ya muda akaamua kuipiga then akaniambia ni ofisini anahitajika kuna gharula. Fasta akasimama akanikiss, akanipa nauli yangu buku na kuniamuru nirudi nyumbani. Kuanzia siku hiyo namba ya 'mrembo' ikipigwa naambiwa ni ya sekretari wetu tunamwitaga hivyo kwa yuko too artificial ameniambia naitwa kazini. WanaMMU mwenzenu nimevurugwa sijui nifanyeje. Nisaidieni mwenzenu nimevurugwa.....uwiii