Nchi ya watu wadogo nchi yakitu kidogo. migambo wataka kitu kidogo maospitali kitu kidogo policy kitu kidogo selekali kitu kidogo ukikutana nawezi wanataka kitu yotu ahh!!!
Mbona sijawahi ckia mtu anasema naenda kusoma China ila malekanu wingereza.......na china ina tisha kiuchumi na kisayani. so sahau kuhusu elim ndogo but upeo
Tatizi si darasa la saba tatizo ni mfumo wa Elim ya kikoloni tunayo endelea nayo Duniya ime badilika sisi tuko pale pale alafu tuna lazimisha maji kupanda mlima mwanafunzi alie feli kidato cha4 awe mwalim au askari Suruwali ya kitambaa kiraka jinsi unataraji nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.