Mkuu Kamikaze drone bado hazijafika?
Kumbuka Israel bado hajarudisha shambulizi, kumbuka Iran haina Iron Dome Israel wakituma makombora 300 yote yanapiga Tehran
Adolf Hitler alitumia ujanja wake wote hasa mahitaji na madhaifu ya Wajerumani wa wakati ule ili watu wampende, lakini pia alitumia ujanja wake wote ili watu wasijue moyoni kwake amekusudia kufanya nini!!.
Nayasema hayo kwa sababau nimejaribu kumfatilia Lowasa kwa muda sasa, tena nilipata...
Kwa taarifa nilizonazo mimi aliyevamiwa na mambazi ni mdogo wake ambaye pia ni mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima Mwanza. Jina lake Anaitwa SAMSON GWAJIMA
Huu nu uamuzi mzuri kama jeshi la polisi litahakisha mikutano yote ya kisiasa au shughuli sote za kisiasa ziitapewa ulinzi wa uhakisha bila kupendelea chama fulani. Lakini kama polisi hawatafanya hivyo vikundi hivi haviepukiki kwa usalama wa vyama vyetu. Angalizo kwa serikali yangu kama...
Inaonekana huyu jamaa aliyeanzisha uzi huu anajua mambo ya katika hii Mifuko, sasa Ruge na team nzima ya Clouds, The Peoples station, kuweni makini na ikibidi hao jamaa wa Mifuko wawe wanawaonesha barua kutoka kwa msimamizi wao, au msimamizi ajitokeza na aseme ukweli juu ya LAPF na pia GEPF nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.