Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 9,395
- 8,855
gwajima yupi?Gwajima akatwa mapanga jijini mwanza usiku wa kuamukia leo hii, sababu ya kukatwa siijui.
Hata Nami Nimesikia Clouds Fm Wakitangaza Pia Hali Yake Ni Mbaya Sana.
Duh
Wanamtafutia nn.
Yeye mwenyewe kasema kuwa waliambiwa ana pesa nyingi hivyo wanataka pesa!! Waliondoka na elfu kumi tu aliyokuwa nayo mkewe!!
acha uzushi amekwambia SAA ngapi wakati.hajazindika toka akatwe mapsnga? amekodishiwa ndege muda huu amepelekwa Nairobi.
Alihojiwa jana kabla hajapoteza fahamu!! Uwe unasikiliza wapo radio na rfa utapata news zote saa kumi na mbili na nusu mpaka saa moja na robo weka rfa na saa moja na robo mpaka saa mbili weka wapo radio utapata habari nyingi nzuri ambazo hazina upendeleo wala hazipotoshi!!
Kwa hiyo yuko Wapi?
Ni mdogo wake anayeongoza kanisa la ufufuo na uzima mwanza!! Polisi wanasema sio mara ya kwanza!! Jamaa yuko vizuri nimesikia akihojiwa aliwapiga karate wakasambaratika ingawa walimjeruhi vibaya!!!
Ni mdogo wake anayeongoza kanisa la ufufuo na uzima mwanza!! Polisi wanasema sio mara ya kwanza!! Jamaa yuko vizuri nimesikia akihojiwa aliwapiga karate wakasambaratika ingawa walimjeruhi vibaya!!!