BONGE BONGE
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 3,721
- 2,106
..........anaumwa sasa!!!! atakagua gwaride kama ngazi tu anashindwa kupanda? wakati umemtupa mkono!!!!No matter what, my prezdaa is el.
..........anaumwa sasa!!!! atakagua gwaride kama ngazi tu anashindwa kupanda? wakati umemtupa mkono!!!!No matter what, my prezdaa is el.
..........anaumwa sasa!!!! atakagua gwaride kama ngazi tu anashindwa kupanda? wakati umemtupa mkono!!!!
Kamshambulia mkuu sana kwamba serikali ni hovyo sana, yeye akiingia huu ujinga ujinga wa watu kufanya kazi kwa mazoea ndo mwisho. Sijui jk anafanyaje kazi?Hivi Nchemba Mwigulu amesemaje jana kule Dodoma?
Nasikia katema nyongo yote
Abson=Apson?
Jambazi sugu na fisadi papa lowasa kamwe hawezi kuwa rais wa nchi. Inafaa ajitengenezee mazingira ya kuungana na rais ajaye ili aendelee kupiga diri
AND IT WILL NEVER HAPPEN. i also give you my word.. rejea tweet ya NAPE NAUYELowassa akipitishwa CCM inaanguka. I give you my word.
Nilisiakia akimongelea mgombea binafsi ndani ya ile beloved speech yake pale Arusha, Ikanitia shaka kuwa atagombea kama mgombea binafsi
Alipogusia kashfa ya Richmond huko Dodoma na kuahidi kuizungumzia zaidi tarehe 30/5/2015 huko Arusha,Lowassa alishaingia kwenye 'kumi na nane' za Dr. Harrison Mwakyembe, Samwel Sitta na waliokuwa wajumbe wa Kamati Teule ya Bunge. Kimsingi, hata Lucas Seleli angeibuka na kumwanika Lowassa. Lowassa angeumbuka mchana kweupe kwa kuwekwa hadharani hata yale yaliyofichwa Bungeni mwaka 2008.
Huko Arusha Lowassa hakuthubutu kuelezea kuhusu kashfa iliyomng'oa kwenye Uwaziri Mkuu ya Richmond kama alivyoahidi Dodoma. Nini kilimshtua? Nani alimshtua? Lowassa atambue kuwa anaishi kwenye nyumba ya vioo na hivyo asichokoze ugomvi wa mawe.
Nionavyo mimi
Lowasa alijua akisema basi mkuu atakuwa anahusika hivyo kusababisha yeye Lowasa kutopita huko CC.
Ameamua kaa kimya ili akipitishwa aseme au akiwa Raisi aseme kilichotokea na kwanini alikuwa kimya
kuichagua SISIEM ni sawa na kujitegeshea bomu.....
Mimi nasubiri tu
Kuipigia kura ccm ni sawa na kura iliyoharibika, HAKUNA MATUMAINI MAPYA YA KIMAPINDUZI NA KIMAENDELEO KIUCHUMI WA TAIFA NA MTU MMOJA MMOJA....
Wamechoka kufikiri
......jamaa (Lowassa) kwa hilo amebugi sana, lakini heko kwa mfumo kwa sababu umejipanga vizuri kutorudia yale ya 2005, ulipochezeshwa ngoma na wanamtandao, Lowassa hawezi kufunga bao kwa mkono kama swaiba wake alivyofanya!!!! amemalizwa kirahisi sana na mfumo japo najua ni kwa gharama kubwa piaMimi Bwana naamini Apson yuko kazini, muda ya mrefu Lowasa atavuna mabua
Kamshambulia mkuu sana kwamba serikali ni hovyo sana, yeye akiingia huu ujinga ujinga wa watu kufanya kazi kwa mazoea ndo mwisho. Sijui jk anafanyaje kazi?