Unamwambia nini mpenzi wako kuhusu marafiki zako wa damu, wale marafiki zako damu damu, wapuuzi wenzio ambao mnaitana kila aina ya majina, makamanda, masela, washikaji, namaanisha wale watu wako wa karibu, nasema kuhusu wale mashemeji wake wa karibu, wale shoga zako mashost zako etc...