Tabia za rafikizo ni zako. Take care

Tabia za rafikizo ni zako. Take care

AmbaB

Member
Joined
Sep 1, 2016
Posts
51
Reaction score
27
Unamwambia nini mpenzi wako kuhusu marafiki zako wa damu, wale marafiki zako damu damu, wapuuzi wenzio ambao mnaitana kila aina ya majina, makamanda, masela, washikaji, namaanisha wale watu wako wa karibu, nasema kuhusu wale mashemeji wake wa karibu, wale shoga zako mashost zako etc, unawaelezeaje mbele ya mpenzi wako,mmeo/mkeo mtarajiwa?

Unawazungumiaje mbele yake?
Kuwa makini sana, " Utakachokizungumza kuhusu wao kitaeleweka ni chenu wote" kama utawazungumizia kwa wema, tabia nzuri na ukarimu wao basi utaeleweka na wewe ndivyo ulivyo ! Kama utamwambia mkeo, Tazama Shaban ni mzinzi sana, yule Saulo ni mkali sana, hiki ndicho kitaeleweka mbele ya mwenza wako kuhusu upande wako. ' Ardhi Ujitazame'

Unamchamba shosti yako mbele ya mmeo, wakati wewe ndiyo ulisema huyu ni shoga yangu toka tunakua, unanena mabaya na tabia chafu zoote za rafiki yako Mwajuma mbele ya mmeo, ukumbuke tu anaelewa hizi ndizo tabia zenu nyote ' watch it '

NB: Tabia zote mbaya utakazozieleza ni zenu wote ,wewe na rafiki zako ila zile nzuri zitamuhusu rafiki yako tu[emoji28]

Nikutakieni Wiki njema.
 
Mzee AmbaB,.

Heshima kwako, ingawa Lugha uliyotumia weng hawataielewa.

Ni ukweli, kwa kiuhalisia binadamu ana tabia sawia na marafiki zake kumi wa karibu.

Vitu anavyofanya rafik ako wa karibu , vikawa vibaya lakini akawa comfortable mbele yako, basi na ww unaweza kufanya kama yeye na pia inawezekana anatabia sawa na ww.

Mm nina miiko yangu.
Moja ni Story za Marafik zangu huishia Bar. Na mambo ya Bar yanaanzia na kuishia Bar.


.



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Show me who your friends, and I’ll tell you who you are...

They said: your current friends are a reflection of you, and are 100% of your choice. A friend is someone you chose to spend time and associate with.
The people you choose to be around shape your personality, the way you think, the way you make decisions, the way you speak, and the way you perceive the world or things etc.(BTW, I don't know how it is possible thoe kila mtu ako na akili zake)

Whether you're aware of it or not, but the people we choose to pay attention to as friends frame our reality. This is how it supposed to be, but for me hii ni ngumu kumeza.
 
Show me who your friends, and I’ll tell you who you are...

They said: your current friends are a reflection of you, and are 100% of your choice. A friend is someone you chose to spend time and associate with.
The people you choose to be around shape your personality, the way you think, the way you make decisions, the way you speak, and the way you perceive the world or things etc.(BTW, I don't know how it is possible thoe kila mtu ako na akili zake)

Whether you're aware of it or not, but the people we choose to pay attention to as friends frame our reality. This is how it supposed to be, but for me hii ni ngumu kumeza.

This is reality.

Its hard to accept , but is very True.

Life is our Mother Teacher. Kama hautaelewa kwa kusikia basi utaelewa kwa kupitia ww mwenyewe.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mzee AmbaB,.

Heshima kwako, ingawa Lugha uliyotumia weng hawataielewa.

Ni ukweli, kwa kiuhalisia binadamu ana tabia sawia na marafiki zake kumi wa karibu.

Vitu anavyofanya rafik ako wa karibu , vikawa vibaya lakini akawa comfortable mbele yako, basi na ww unaweza kufanya kama yeye na pia inawezekana anatabia sawa na ww.

Mm nina miiko yangu.
Moja ni Story za Marafik zangu huishia Bar. Na mambo ya Bar yanaanzia na kuishia Bar.


.



Sent from my iPhone using JamiiForums
Heshima yako mkuu, kweli kabisa, ndo maana nami nimekuja na wazo hili...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is reality.

Its hard to accept , but is very True.

Life is our Mother Teacher. Kama hautaelewa kwa kusikia basi utaelewa kwa kupitia ww mwenyewe.


Sent from my iPhone using JamiiForums
It's very hard, wa kwanza ni mimi mwenyewe hii kitu inagoma kabisa kuniingia 😀
 
hiyo paragraph ya mwisho umeongea ukweli mtupu

tena kuwa makini endapo ukiwa una msifia sifia rafiki yako kuhusu tabia yake nzuri mbele ya mpenzi wako yaani hapo unakuwa una mtengebezea njia huyo rafiki yako angonoke na mpenzi wako...

mpenzi wako anaweza jikuta ana vutiwghafla na huyo rafiki yako ambaye huwa una m
zisifia sifia tabia zake kwa mpenzi wako
 
Ipo complicated kidogo najiongelea mimi.Kwa siku za hiv karibu nimeshindwa kutengeneza marafiki kabisa sijajua sababu ni kwa nin,Mbali na marafiki ata ile ushikaji kiukwel imekua ndugu.
Back to the point kuhusu tabia mim ndo nakua na baadhi ya tabia nazigenerate.Baadhi ya hizo tabia kama pombe,smoking(cigarates n' weed).
Kuhusu marafiki hawajabadilika ni wale wale nilofahamiana nao miaka zaidi ya kumi iliyopita.
Marafiki wengi hawajui kama i do cigarate n' weed sababu tu ni kwamba hawatumii hizo mambo naona pia hawana sababu ya kujua.
Kupitia ilo ukimwambia mmoja wa rafiki ya nafanya kitu flani anaweza shangaa sana.
Kuna mwingine akimwambia mim ni nakunywa pombe anaweza kataa kumbe mim so mnywaji ni mlevi.
Kupitia ilo naona kabisa my friend sio kupitia wao unaweza kunidefine.
 
Back
Top Bottom