Kila la heri dada.. Utapata PM nyingi sana ila sio kila PM unayoipata huyo mtu yuko serious..! Inabidi ufanye upembuzi yakinifu.. Ninavyokuambia hivi nina ushahidi.!
Madame X, what if baada ya kutoa maganda hivyo viazi nikiviponda na kuvichanganya na viungo kabla ya kuvichovya kwenye huo unga wa dengu.... Will it be Okay?
Mimi yaliyonikuta si kwamba nilitangaza mimi, hapanaaa.... Kuna mkaka alitoa tangazo anahitaji mchumba/mke sasa ndio nikarespond kwenye hilo tangazo lake.. Mwisho wa siku ndio yakanikuta ya kunikuta..
Yaani mtoa mada alichozungumza ni ukweli mtupu hata mimi yameshanikuta, nili respond kwa mkaka mmoja aliyekuwa anatafuta mchumba, akaniambia angependa tukutane guest house kwani ni mahali palipo tulia na akaongeza anatangulia yeye ataniambia yuko chumba namba ngapi ili nimfuate... Nilipatwa na...
Habari zenu wana JF..
Nilienda hospitali kwa ajili ya check up.. Majibu yaliyokuja nikaambiwa mayai yangu hayakomai hivyo lazima nitumie dawa nikitaka kuconceive, nimepewa dawa lakini sijaanza kuzitumia kwa kuwa sina mpango wa kuzaa kwa sasa..Nauliza kama kuna vyakula au matunda ya kutumia zaidi...
Nimepitia mengi hivyo naogopa isije kuwa napoteza muda wangu maana naona kama hasomeki vizuri. Sasa miezi mingapi ndio inafaa kwa yeye kunipeleka kwake? Nahitaji assurance mapema.
Kutokana na ushauri nilioupata humu nimeanza kufunguka hivyo nahisi inawezekana akawa na mwanamke labda anaishi nae ingawa yeye anakataa na anasisitiza niwe na subra atanipeleka tuu kwake muda si mrefu from now.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.