- Thread starter
- #21
dada yangu kwan kwake anaishi na wazazi wake kiasi akikupeleka atakuwa amekupeleka kwa wazazi?kama ndio hata akuonyeshe basi kwa mbali upaone angalau..mhh huyu ameshakwambia uchukulie km mnastareheshana sasa unasubiri nini kwake km unataka ndoa??kuwa serious na maisha yako..mtafute mtu sahihi kwa mtazamo wangu huyu hakuna kitu...
Haishi na wazazi wake. Amenielekeza tuu kwamba ukitaka kufika kwangu unashukia kituo flani ukiuliza tu madreva taxi au boda boda watakufikisha. Ila mi naona si ustaarabu kum surprise mtu napenda anipeleke yeye akiwa willing sitaki kumlazimisha.