Tatizo Sio kwenda kwenye browser mkuu..
Hawa hata option ya forget password ni mtihani.
Nimesha badili ID Tatu.. Sasa maana nikienda browser na hii nibadili.. Sasa ladha iko wapi hapo?
Mods tafadhalini mturuhusu watumiaji wa App kuweza kufatilia huu Uzi.
Ni zaidi ya week Sasa siwezi kusoma chochote huku. Sasa bila huu uzi kwangu JF haina ladha.
Maxence Melo Active Paw
Hao wahuni wanasubiria uanze mchakato wa kujimilikisha ndio wakushukukie kama mwewe..
Tulia acha papara.
Jambo la msingi hapo ni kurudi kwenye makubaliano kwamba wakichelewa kurudisha hela kuwe na riba. Faida yako uipate kwenye riba. Tofauti na hapo subiri kesi itakayo kuvuruga sana.
Sent...
Sijui kama yupo kwenye payroll ya boss wao mpya... Alivyo na chuki na Uislam huyo boss akimuacha nae atakuwa mpuuzi. Huyu jamaa hafai kabisa..
Sema njaa imezidi saiv na itazidi sana... Na wanaweza kurudia ule utoto wa 1982 maana wanapelekwa puta haswaa.
Naibu waziri yupo sahihi kabisa. Kuna msongamano wa Meli bandarini toka muda tu.
Hii inasababisha mawakala wa Meli kulipa fedha nyingi maana Meli inakaa muda mrefu bila kushusha shehena. Nafasi ndogo na vifaa vichache.
Ni muhimu kufanya upanuzi wa Gati zetu kuweza kuhudumia Meli nyingi Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.