Recent content by Amani Dimile

  1. Amani Dimile

    Kizazi kijacho kitalelewa vipi?

    Nasikitika kusema kwamba sisi tutakuwa kizazi cha mwisho kuwa na wazazi wanaojielewa. Nasikitika kusema kwamba sisi ndio tutakuwa kizazi cha mwisho kuwa na mama bora na baba bora pia wanaojielewa. Huenda labda mimi ni mpofu, lakini niwapashe tu kuwa nayaamini macho yangu kuliko ambavyo...
  2. Amani Dimile

    Umejifunza nini kuhusu Mungu?

    Kwahiyo umejifunza nini kuhusu Mungu? [emoji1484][emoji1484] Mungu ni zaidi ya sisi tunavyomfikiria, huenda mtazamo wetu juu yake haufiki hata theluthi ya uwezo wake halisia. Powered by #tangaselftour ........................................................................ Ni mara ngapi...
  3. Amani Dimile

    Ogopa kilichomuua Samsoni

    Ikiwa mtaonana na Haji Manara mwambieni kuwa "asinene akamara" wahenga ndio walivyosema. Ikishatukuka shajara, hufaa kwa wakati lakini yakibadilika masaa huonekana ya kifala. Ulimi huponza vingi, mkumbusheni atunze maneno na aweke akiba. Mwisho mwambieni asithubutu kumuamini mwanamke asilimia...
  4. Amani Dimile

    Tamaa mbaya

    Unakumbuka kipindi ambapo wazazi wako walikuwa wakikukanya kuomba au kulilia chakula cha mgeni. Unakumbuka nini kipindi kile ambapo hukutakiwa kabisa kumtazama mgeni usoni kipindi anakula au anakunywa soda yake. Au umesahau kuwa ulifinywa sana, ukapigwa vibao na kuchapwa fimbo za kutosha...
  5. Amani Dimile

    Tulia nikupende.

    Umesema umetoka kwa watu wasiojua kupenda kabisa, wasiofahamu majukumu yao wenye tamaa na uchu. Ambao upendo wao mkuu umelala kwenye kivuli cha matamanio ya uzuri wako, pole sana. Umeniambia pia, ulikuwa ukipelekwa pelekwa kama gari bovu. Sauti yako mwenyewe haikuwahi kutiliwa maanani kwenye...
  6. Amani Dimile

    The author is dead

    Ikiwa ndio najua sekunde zangu za mwisho za kuishi duniani, halafu nikaambiwa nikupe ushauri madhubuti sana kabla sijafa ambao utakusaidia maishani, basi ningekushauri hivi vitu kumi; 1. Muda unaweza ukakusaiadia au kukuangamiza yote inatokana na jinsi unavyoutumia. Kuwa makini na muda kwani...
  7. Amani Dimile

    Tumshukuru Mungu kwa maisha tuliyojaaliwa kuwa nayo.

    Kila mtu huamini kile anachofikiri ni sahihi, badala ya kufikiri kwa usahihi kile anachokiamini. Ahsante [emoji1755]
  8. Amani Dimile

    Tumshukuru Mungu kwa maisha tuliyojaaliwa kuwa nayo.

    Baada ya kushika kalenda na kuzihesabu siku hatimae nimegundua tajiri na maskini wanaishi siku sawa ndani ya mwaka mmoja. Yaani siku 365. Lakini furaha na amani zinatofautiana miongoni mwao, majukumu ya kuyatimiza huenda ni yale yale, ila nguvu wanazotumia kutimiza majukumu hayo ni tofauti...
  9. Amani Dimile

    Vinavyofaa ni vichache

    Kwahiyo kila mtu awe makini kuuongoza moyo wake kabla ya moyo wake kuamua kumuongoza yeye. Ni kweli moyo umeumbiwa tamaa, lakini sina hakika kama tamaa zimeumbwa kwa ajili ya moyo. Ukweli dhahiri ambao hatukufunzwa shuleni ni kwamba, si kila utakachokitamani kitakufaa, hivyo ili ufanikiwe...
  10. Amani Dimile

    Mitazamo yao na maisha yetu

    Kwahiyo ubao ni ule ule, chaki ni zile zile, mwalimu ni yule yule ila somo limebadilika. Leo tutajifunza kitu kingine kabisa, leo nitakufundisha na kukutahadharisha juu ya maisha yako na muingiliano wa mawazo ya watu juu yako. Katika sayari hii ya kupwa na kujaa kwa chuki na upendo, ukweli ni...
  11. Amani Dimile

    Endeleeni ku-fake mambo

    [emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38] Nimecheka sana mkuu [emoji1430][emoji1430][emoji1430]
  12. Amani Dimile

    Endeleeni ku-fake mambo

    [emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]
  13. Amani Dimile

    Endeleeni ku-fake mambo

    Ahsante kwa kushukuru ndugu yangu [emoji1755]
  14. Amani Dimile

    Endeleeni ku-fake mambo

    Kwahiyo baada ya uongo na maisha yote ya maigizo acheni ukweli angalau upewe nafasi. Sababu dunia hii ya maigizo na sifa nyingi zenye kuwafurahisha watu, ndio inatufanya tuishi kwa kushindana na kutaka kujionesha nani ni bora na nani ni dhaifu. Maisha ya maigizo na ku fake uhalisia wa hali zetu...
  15. Amani Dimile

    Kwanini vitabu vingi vinasema "Ogopeni wanawake"?

    Chagua wew [emoji38][emoji38][emoji38]
Back
Top Bottom