Nasikitika kusema kwamba sisi tutakuwa kizazi cha mwisho kuwa na wazazi wanaojielewa. Nasikitika kusema kwamba sisi ndio tutakuwa kizazi cha mwisho kuwa na mama bora na baba bora pia wanaojielewa.
Huenda labda mimi ni mpofu, lakini niwapashe tu kuwa nayaamini macho yangu kuliko ambavyo...
Kwahiyo umejifunza nini kuhusu Mungu?
[emoji1484][emoji1484]
Mungu ni zaidi ya sisi tunavyomfikiria, huenda mtazamo wetu juu yake haufiki hata theluthi ya uwezo wake halisia.
Powered by #tangaselftour
........................................................................
Ni mara ngapi...
Ikiwa mtaonana na Haji Manara mwambieni kuwa "asinene akamara" wahenga ndio walivyosema. Ikishatukuka shajara, hufaa kwa wakati lakini yakibadilika masaa huonekana ya kifala.
Ulimi huponza vingi, mkumbusheni atunze maneno na aweke akiba. Mwisho mwambieni asithubutu kumuamini mwanamke asilimia...
Unakumbuka kipindi ambapo wazazi wako walikuwa wakikukanya kuomba au kulilia chakula cha mgeni. Unakumbuka nini kipindi kile ambapo hukutakiwa kabisa kumtazama mgeni usoni kipindi anakula au anakunywa soda yake.
Au umesahau kuwa ulifinywa sana, ukapigwa vibao na kuchapwa fimbo za kutosha...
Umesema umetoka kwa watu wasiojua kupenda kabisa, wasiofahamu majukumu yao wenye tamaa na uchu. Ambao upendo wao mkuu umelala kwenye kivuli cha matamanio ya uzuri wako, pole sana.
Umeniambia pia, ulikuwa ukipelekwa pelekwa kama gari bovu. Sauti yako mwenyewe haikuwahi kutiliwa maanani kwenye...
Ikiwa ndio najua sekunde zangu za mwisho za kuishi duniani, halafu nikaambiwa nikupe ushauri madhubuti sana kabla sijafa ambao utakusaidia maishani, basi ningekushauri hivi vitu kumi;
1. Muda unaweza ukakusaiadia au kukuangamiza yote inatokana na jinsi unavyoutumia. Kuwa makini na muda kwani...
Baada ya kushika kalenda na kuzihesabu siku hatimae nimegundua tajiri na maskini wanaishi siku sawa ndani ya mwaka mmoja. Yaani siku 365.
Lakini furaha na amani zinatofautiana miongoni mwao, majukumu ya kuyatimiza huenda ni yale yale, ila nguvu wanazotumia kutimiza majukumu hayo ni tofauti...
Kwahiyo kila mtu awe makini kuuongoza moyo wake kabla ya moyo wake kuamua kumuongoza yeye. Ni kweli moyo umeumbiwa tamaa, lakini sina hakika kama tamaa zimeumbwa kwa ajili ya moyo.
Ukweli dhahiri ambao hatukufunzwa shuleni ni kwamba, si kila utakachokitamani kitakufaa, hivyo ili ufanikiwe...
Kwahiyo ubao ni ule ule, chaki ni zile zile, mwalimu ni yule yule ila somo limebadilika.
Leo tutajifunza kitu kingine kabisa, leo nitakufundisha na kukutahadharisha juu ya maisha yako na muingiliano wa mawazo ya watu juu yako.
Katika sayari hii ya kupwa na kujaa kwa chuki na upendo, ukweli ni...
Kwahiyo baada ya uongo na maisha yote ya maigizo acheni ukweli angalau upewe nafasi. Sababu dunia hii ya maigizo na sifa nyingi zenye kuwafurahisha watu, ndio inatufanya tuishi kwa kushindana na kutaka kujionesha nani ni bora na nani ni dhaifu.
Maisha ya maigizo na ku fake uhalisia wa hali zetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.