Recent content by Amani congo

  1. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Familia hazijui baba zao wapo wapi,hatujui ndugu zetu wapo wapi,tumezika ndugu zetu leo hii wanatuambia ni michezo kweli?Tumezika mnasema ni michezo?
  2. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Arsenal Kushinda Ubingwa ni dalili kuwa EPL imeshuka viwango

    Sawa ila ndo hivyo Arsenal ndiyo mabingwa na Epl imebaki kuwa moja ya ligi kubwa duniani.
  3. Amani congo

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Mpigi Kata ya Maili moja tuna mabomba ila hatuna maji

    Mmeripotia DAWASCO?
  4. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kubadilishana vituo vya kazi

    Karibu kwa yeyote wa kada ya afya au Elimu anayehitaji uhamisho.
  5. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Siri imefichuka Yanga anafanyiwa hujuma ili kusudi Simba achukue ubingwa angalau mzani ubalance

    Tusubiri report ya Technical bench,haya mengine ni hisia tu.Mpira ni mchezo wa Makosa
  6. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Nani ndo GOAT wa Rhumba?

    Wapi Madilu sytem? Wapi Sam Mangwana? FRANCO SI WAKUSHINDANISHWA JAMENI YEYE NDIYO RHUMBA YENYEWE
  7. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

    ALEXEE KAJUMULOOOOO NA IWE SAAAAAFEEEE...........
  8. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

    Banza alimtaja sanaa
  9. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa ngazi ya juu ya irani wageukana

    Hawa jamaa ukiwa msaliti mbona huamki kesho.Msimamo wao ni mmoja.hakuna kibaraka pale
  10. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Emmanuela Mtatifikolo ajitosa kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Isimani

    HAkuna mtoto wa Marehemu aliyependekezwa?
  11. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Tunaona wenzetu wanapenda kuombaomba michango. Msiwachangie

    Bora anayeomba kuliko MAJIZIII YANAYOKWAPUA.
  12. Amani congo

    JamiiForums Tanzania KERO DAWASA hawafungui maji Kimara mpaka tuwapost JF?

    Wanazurura na BAJAJI tu mtaani jioni wana Logout
  13. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Tunaona wenzetu wanapenda kuombaomba michango. Msiwachangie

    Nchi hii kuna vijana wa hovyo sanaa
  14. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Britanicca tumuokoeni

    STRESS IS REAL
  15. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Shuhudia Hiki Kinachofanywa na Pastor Huyu wa Jirani Zetu, kisha Compare na Kinachofanywa na ma Pastor Wetu!. Nimeguswa!

    Lusekelo alisema anasikia Dar kuna joto ye hilo halijui maana ana AC mpaka chooni kwake.
Back
Top Bottom