Shtuka Bro.El Nino inakaribia kuanza,bidhaa kama unga,mchele,sukari na Mafuta zitakuwa adimu na bei itakuwa juu sana,sasa we endelea kumuwaza jirani,yeye yupo kwenye maandalizi anatafuta uhakika wa ku survive katika kipindi hicho.Kimbiiaaaaaa
Aliyekushauri kakushauri vibaya sana kulileta huku.Kwa kuwa umesema nyinyi ni marafiki wa kifamilia,rudi nyuma mtatue kifamilia.Hii ni aibu tu.Vyeti vyako kama unavyo we pambana navyo.Tukiwa chuo hapo Dodoma kuna siku nilikatisha makaburini kule kizota,tukaona kaburi lina jina la Rafiki yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.