Tuache kuongelea ubinadamu tuongelee barabara na majengo mkuu?Kuna msiba kwako tukifika tuongelee nyumba na magari yako na si kuomboleza?Jamii kwanza,kwenye hilo hakuna aliyeihujumu Afcon.Ajali,mauaji,vifo,mienendo mibaya ya vijana ni lazima viripotiwe jamii ijifunze.Maendeleo ya vitu bila utu...
Mkuu una watoto kadhaa kama ulivyosema.Naamini wa kiume wapo.Kwa mujibu wa Imani yangu ambayo hapa sitoitaja,naloaamini ni hili,hiyo tabia huenda imetoka huko kwa babu wa mababu.Sasa omba sana isiende kwa watoto wala wajukuu wako.Nimeona umejisikia vibaya juu ya matendo hayo.Unaweza usipate baya...
Mi siongei chochote.Atashtakiwa tu na serikali kwa hicho alichokifanya,hayo ya kiimani yeye na Anayemuamini watapeana stahiki pia.Dini ni mapokeo,kila mtu ana namna yake ya kupokea.
Huku kwetu unamtafuta mtu wa haya makanisa mapya,unampa na jina la marehemu,kila ibada unampa elfu 20,wee hapo mnakula mahubiri na huduma zote full package,marehemu anazikwa kiroho safi walio hai nao wanakula neno kwa buku 20 tuu.Hukumu mbinguni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.