Recent content by Amani congo

  1. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Trump kasema mwezi ni mali ya Marekani 🌘

    Mirembe kachukueni mtu wenu
  2. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Jirani ananikonyeza na kanga moko: Nifanyeje?

    Nakuambia tena shtuka, na ana Marejesho kibaooo we leta za Sharukhan uone kama hujayalipa wewe.
  3. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Jirani ananikonyeza na kanga moko: Nifanyeje?

    Shtuka Bro.El Nino inakaribia kuanza,bidhaa kama unga,mchele,sukari na Mafuta zitakuwa adimu na bei itakuwa juu sana,sasa we endelea kumuwaza jirani,yeye yupo kwenye maandalizi anatafuta uhakika wa ku survive katika kipindi hicho.Kimbiiaaaaaa
  4. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Ni Aidha Katambi ana changamoto ya Afya ya Akili au Obsession au amekosa objective na Mission kwenye Wizara yake

    Nimefurahi kusoma andiko la msomi asiye na uchawa.Umeandika pointi tupu.Wakizingatia haya Taifa litapata watu sahihi.
  5. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Nimeokota chungu kizuri njia panda kilikuwa na madawa, nataka nikasafishe nitumie kupikia. Ni sawa kweli?

    Acha vitu vya watu,uwezo unao.Usibebe majanga kuyapeleka kwako.
  6. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Ni Ngumu kujua anayeteka Watu Nchini, Vyombo vya Ulinzi vikibaini vitaleta Taarifa, Wananchi waripoti taarifa

    Umeongea ukweli,Damu yako haitadaiwa juu ya ardhi.Ukweli wanaujua ila hawausemi.
  7. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Land cruiser ile ilee.They are SOMEBODIES and we are NOBODIES.Time will tell.
  8. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Swali:Hivi ni kwanini wazanzibar hawanaga vichogo ?

    Ni asili yao tu.kwa nn wamasai wengi hawana ndevu?
  9. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Mufindi: Akamatwa akijaza pombe bandia kwenye Chupa

    Mali ghafi wanazitoa wapi?nani anawauzia vifungasho?stika je?
  10. Amani congo

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Hata mimi hapo nimejiuliza kwa mamlaka gani.
  11. Amani congo

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Na tutatuma TAKUKURU mkoa wa Mbeya walifanyie kazi.
  12. Amani congo

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Aliyekushauri kakushauri vibaya sana kulileta huku.Kwa kuwa umesema nyinyi ni marafiki wa kifamilia,rudi nyuma mtatue kifamilia.Hii ni aibu tu.Vyeti vyako kama unavyo we pambana navyo.Tukiwa chuo hapo Dodoma kuna siku nilikatisha makaburini kule kizota,tukaona kaburi lina jina la Rafiki yetu...
  13. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Kuporomoka kwa ndugu Nchimbi kutoka cheo cha uMakamu hadi kutokuwa mwanachama kuna mafunzo mengi ya kujifunza

    Una chochote kizuri ulichojifunza kutoka kwake?
  14. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM hapa ndio sehemu ya kutuma Ujumbe kwa Samia siku ya kupigia kura hilo jina la Makamu wa Rais. Hana Cha kuwafanya kwasasa

    Wanavyojali matumbo yao binafsi usitarajie lolote.Hakuna anayejali suala la nchi kati yao.
  15. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmannuel Nchimbi afukuzwa uanachama wa CCM

    Nchi hii ukiwa ccm huruhusiwi kudai katiba?
Back
Top Bottom