Recent content by Amani congo

  1. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Unafahamu kuwa Biblia ni nini?
  2. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Je kuna waandishi au vyombo vya habari vimelipwa kuichafua ARUSHA kabla ya AFCON??

    Tuache kuongelea ubinadamu tuongelee barabara na majengo mkuu?Kuna msiba kwako tukifika tuongelee nyumba na magari yako na si kuomboleza?Jamii kwanza,kwenye hilo hakuna aliyeihujumu Afcon.Ajali,mauaji,vifo,mienendo mibaya ya vijana ni lazima viripotiwe jamii ijifunze.Maendeleo ya vitu bila utu...
  3. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Tulioingia kwenye ndoa na kupata makasiriko badala ya furaha tukutane hapa.

    Mkuu unataka kuungana na kundi la MARIAGE IS SCAM?
  4. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Confession: Juu ya kulala na wake za watu

    Mkuu una watoto kadhaa kama ulivyosema.Naamini wa kiume wapo.Kwa mujibu wa Imani yangu ambayo hapa sitoitaja,naloaamini ni hili,hiyo tabia huenda imetoka huko kwa babu wa mababu.Sasa omba sana isiende kwa watoto wala wajukuu wako.Nimeona umejisikia vibaya juu ya matendo hayo.Unaweza usipate baya...
  5. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Paris: Mwanaume awachoma visu wanawake watatu, akiwemo mwanamke mjamzito, huku akidai alifanya hivyo kwa ajili ya Allah

    Mi siongei chochote.Atashtakiwa tu na serikali kwa hicho alichokifanya,hayo ya kiimani yeye na Anayemuamini watapeana stahiki pia.Dini ni mapokeo,kila mtu ana namna yake ya kupokea.
  6. Amani congo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miaka 4 Bila Kukanyaga Wajir North! Woman Rep Awasili Kwa Mara ya Kwanza, Wananchi Wampokea kwa Nderemo za "One Term! One Term!"

    Na ndivyo itakavyokuwa.Hakuna mwananchi mjinga
  7. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tusichafue taifa tukawa wakimbizi kwenye taifa lingine mkapoteza haki zenu zote

    Hakuna anayejali mwananchi ndugu yangu.
  8. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Ni mwanaJF gani ambaye unafikiri akipewa mamlaka kuanzia sasa anaweza kuiongoza nchi ya Tanzania?

    Huyu Bwana Mshana Jr kwa maandiko yake namuona kabisa jukumu hili analiweza.Naomba kupiga kura yangu ya wazi kwake.
  9. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Amnyonga mkewe kisha kukimbia na 300k

    Nchi hii ina baadhi ya VIJANA WA HOVYO SANAA.ukimuona mbavu kabisa anaua mtu kwa sababu ya sh 300,000/=?
  10. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Kwa wakatoliki huku parokiani kwetu ukiwa hujafunga ndoa ama wewe ni single mother/ baba ukifa hauzikwi na hata watoto wako hawabatizwi tena!

    Huku kwetu unamtafuta mtu wa haya makanisa mapya,unampa na jina la marehemu,kila ibada unampa elfu 20,wee hapo mnakula mahubiri na huduma zote full package,marehemu anazikwa kiroho safi walio hai nao wanakula neno kwa buku 20 tuu.Hukumu mbinguni.
  11. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tusichafue taifa tukawa wakimbizi kwenye taifa lingine mkapoteza haki zenu zote

    Anamaanisha kama kuna haki tunanyimwa tukae kimya tu maana ikitokea shida tutakimbilia nje ya nchi,huko hatutokuwa na haki yoyotee.Inasikitisha sanaa.
  12. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Mabinti wa kisukuma wanajua sana mapenzi!

    Hivi Mfuko wa Mbolea ya UREA sasa hivi ni shilingi ngapi?
  13. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tusichafue taifa tukawa wakimbizi kwenye taifa lingine mkapoteza haki zenu zote

    "MKAPOTEZA HAKI ZENU ZOTE" Kwa maana hiyo ni bora kupoteza chache?
  14. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Dar ukubwa unapimwa kwa muonekano ukiwa na umbo kubwa au sura ya Mujuni (baadae mpoki) shikamoo kama zote

    Ndo maana watu wanapishana kila week saloon kufanya scrub
  15. Amani congo

    JamiiForums Tanzania Sitalala kitandani kamwe unless nimelazwa sijitambui

    Pole bwana,shetani yupo kazini,anataka akuharibie tu Amani
Back
Top Bottom